UNIQUEMAN1
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 378
- 448
Ni mara nyingi nimekuja kwenu kuhusiana na wife wangu. Kwa kweli nimepata darasa kubwa sana kwenu, hakika nikajihisi nimetua mzigo fulani. Kama nilivyoeleza kwenye baadhi ya thread kuwa alinisababisha hadi nikawa mnywa Pombe, sigara n.k kwa kauli zake (thread nitaziweka). Hakika mapenzi yanauwa, hasa kama una moyo mwepesi kama mimi. Nikiangalia mambo niliyofanya kisa mwanamke nashangaa.
Mawazo yenu wana Jf yamenijenga vya kutosha. Mungu awabariki sana . Niwashauri pia mwingine a apokuja na suala siriaz kama langu, msisite kumtoa kwa ushauri kama mlivyofanya kwangu. Mtawaokoa wengi bila kujua. Pia kwa namna nyingine waweza muongezea maumivu eidha kwa kumkejeli au dhihaka
Hali ilikuwa imefika huku
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo yenu wana Jf yamenijenga vya kutosha. Mungu awabariki sana . Niwashauri pia mwingine a apokuja na suala siriaz kama langu, msisite kumtoa kwa ushauri kama mlivyofanya kwangu. Mtawaokoa wengi bila kujua. Pia kwa namna nyingine waweza muongezea maumivu eidha kwa kumkejeli au dhihaka
Hali ilikuwa imefika huku
Sent using Jamii Forums mobile app