Asanteni kwa ushauri wenu, naomba pia mnipokee

Asanteni kwa ushauri wenu, naomba pia mnipokee

kama kweli wanienda, njoo huku twiga star wangu.
 
habari za jpili! Wana jamvi asanteni sana kwa ushauri mlionipa jana niliomba ushauri kuhusu rafiki 2liepotezana baada ya kumtafuta akawa ka hanijui, ushauri wenu umenisaidia sana na nmejifunza vi2 vingi. Kingine mm ni mgeni hapa jf! Naombeni mnipokee, naamini ntajifunza vingi. Mm ni msichana wadau niko below 20! Nawapenda saaaana asanteni!

VP kuhusu 0713
 
come zis way twiga stars member wangu. mi ni Serengeti boys member
 
dada Swts ngoja kwanza, hilo ni fumbo huwezi kulifumbua
 
Last edited by a moderator:
dada Swts ngoja kwanza, hilo ni fumbo huwezi kulifumbua

haya maana nmeshtuka nkajua tigo ya kimjini maana misamiati mingi siku hizi
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom