habari za jpili! wana jamvi asanteni sana kwa ushauri mlionipa jana niliomba ushauri kuhusu rafiki 2liepotezana baada ya kumtafuta akawa ka hanijui, ushauri wenu umenisaidia sana na nmejifunza vi2 vingi. kingine mm ni mgeni hapa jf! naombeni mnipokee, naamini ntajifunza vingi. mm ni msichana wadau niko below 20! nawapenda saaaana asanteni!
Karibu. Vipi, mko likizo, au umepata gaet pass?
mmh mi nlizan uniptie unipe mihela!
mmh mi nlizan uniptie unipe mihela!
Humu ndani vichwa vibovu ukihitaji kuwafamu lete mada zenye kuwachoma ..hawana ushaur bali matus kwa sana ,na ubish kama Kawaida yao. usisifie mvua kabla haijakunyea . .................
Humu ndan inahitaj uvumiliv kama sio hivyo bas tafufa mchumba.
Karibu kanisani kwangu kwenye maombi ....lol!!
habari za jpili! wana jamvi asanteni sana kwa ushauri mlionipa jana niliomba ushauri kuhusu rafiki 2liepotezana baada ya kumtafuta akawa ka hanijui, ushauri wenu umenisaidia sana na nmejifunza vi2 vingi. kingine mm ni mgeni hapa jf! naombeni mnipokee, naamini ntajifunza vingi. mm ni msichana wadau niko below 20! nawapenda saaaana asanteni!
haaaaa! asante saaana mpnz
Umeshakaguliwa? Hebu kam zis wei, without.