Asanteni Crew nzima ya wana Arusha-Wing....narejea Dar.

Asanteni Crew nzima ya wana Arusha-Wing....narejea Dar.

Nimewapenda sana kwa jinsi mlivyo na msimamo na Wing yenu.
Hakika nimejifunza vitu vingi toka kwenu.

Mzee wa Rula, PakaJimmy, Arushaone, Philipo, Tonykp, LiverpoolFC, mkiva... Preta, @Blakiwomani, Cantalisia, Lily Flower......nawapenda sanaaa.
IGWE....ulikuwa na haraka ya nini bhanaaaa!!!!

Nimepapenda sana The Narok.
Live Band.....tulikula na kula kwa furaha.
Nawapenda sana.
TUTAKUTANA SAFARINI MWANZA.
Mmmwwwahhhhhh....!!!!!!!

mkiva.....miss sana wewe.

.... nawapenda sanaaaa.

Duuuuuh_hata mimi nilitamani sana kuwa pamoja na wewe siku ile ila kuna issue ilikuwa inanisukumia porini bhana,...
 
Nimewapenda sana kwa jinsi mlivyo na msimamo na Wing yenu.
Hakika nimejifunza vitu vingi toka kwenu.

Mzee wa Rula, PakaJimmy, Arushaone, Philipo, Tonykp, LiverpoolFC, mkiva... Preta, @Blakiwomani, Cantalisia, Lily Flower......nawapenda sanaaa.
IGWE....ulikuwa na haraka ya nini bhanaaaa!!!!

Nimepapenda sana The Narok.
Live Band.....tulikula na kula kwa furaha.
Nawapenda sana.
TUTAKUTANA SAFARINI MWANZA.
Mmmwwwahhhhhh....!!!!!!!

mkiva.....miss sana wewe.

.... nawapenda sanaaaa.

Niliwaona sehemu nikashindwa kujumuika nanyi...nikiogopa kuzuzuliwa......
 
Jina la Bwana libarikiwe kumbe amekuwa mlokole Mungu ashukuriwe
sasa cousin tumepata kondoo ngoja niongoee na mama paroko amuingize
katika list kule siasani
natumai alibaki salama cousin maana mume wangu sikuhizi ametulia halafu kaokoka!
 
sijui ndugu yangu na nashangaa kwanini hajaniaga wakati
nilikuwa namuandalia ticket ya FASTJET hivi hajui kuwa
ameniingiza hasara ya pesa yangu? itabidi ailipe tena hata
kwa ban maana ananishangaza huyu ......... wako cousin
sijui nimfanyeje? nitambadilisha mm ujue awe hivi :A S 2152:
cousin hivi hujui kama ameshatua ndani ya Geneva huyu?
 
Back
Top Bottom