Wana JF ARUSHA WING.....MPOOOOO....!!!!!! Madame B natia timu, NIPOKEENI...!!!!!!!!

Madame B

JF-Expert Member
Apr 9, 2012
29,800
31,752
I love Arusha So Mmmwaahhhh...!!!!!!!

Wana Jf wa AraChuga Wing Nipokeeni...!!!!!!!
Natia timu Kujiandaa na Safari ya Tanga.
Arushaone, Filipo, Lily Flower, Mungi, Erickb52, PakaJimmy, marejesho, Preta, LiverpoolFC, Blaki Womani, sweetlady, Mzee wa Rula, Mr Rocky
Nitaendelea kuwataja, narudi..........

Nitafutieni Hoteli Nzuri,
Muhudumu mzuri na Mapokezi mazuri.

Najua Kaizer anakuja Dar, gfsonwin atakupokea....nishakuwekea Oda.

Arushaone Hubby, Jidai tangu sasa maana mateso yote yataisha.
Nitatua Rasmi Tarehe 22, Inshaallahhhhhhhh.....!!!!!!!!!
Preta nionyeshe kiwanja kizuri,
Wifi marejesho nionyeshe Club bomba,
Shem Filipo Nitafutie hotel nzuri,
Shosti Lily Flower niandalie nguo nzuriiiii,
Shemeji wa zamani Erickb52 nitafutie mahala wanapouza vinywaji vikali,
Shem Mungi Nitafutie gari bomba ya kuzunguka nayo Arusha nzima,
Mkwe wa shosti Mr Rocky wewe utanizungusha mjini usiku kukiwa kimyaaaaaaaaaa......!!!!!!!!!!!!!!1
Wa Emergency PakaJimmy wewe utakuwa pembeni kusubiri kipenga kikilia,
Wewe Mzee wa Rula utaratibu safari yangu yooote ya huko,
Mke Mwenza Blaki Womani wewe nitafutie Kiatu bombaa,
Shogae Preta wewe nifanyie Booking ya kuniingiza kunako trip ya Tanga,
Mkuu LiverpoolFC kama tulivoongea Juzi, usikonde....
Shostito sweetlady wewe tutapuyanga mitaani wote

HODIIIIIIIIII.............!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
HODIIIIIIIIII.............!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Halafu wewe mi nimekumaindi sana we ngoja tu...na tukifika huko TA na tusijuane aiseee...najua ushajielewa!!!
 
Maandalizi yanaendelea vema, karibu sana makao makuu ya JF upatemo na mauzoefu. Utafurahi kwa 6 days 5 nights!! Tuna bahati sana ya wageni Arusha ndio sababu huwa najivunia sana kuwa JF MEMBER KUTOKA MAKAO YAKE MAKUU. Lastly but not least, welcome!!
 
Maandalizi yanaendelea vema, karibu sana makao makuu ya JF upatemo na mauzoefu. Utafurahi kwa 6 days 5 nights!! Tuna bahati sana ya wageni Arusha ndio sababu huwa najivunia sana kuwa JF MEMBER KUTOKA MAKAO YAKE MAKUU. Lastly but not least, welcome!!

Hubby Arushaone, Mbona unaniita utadhani vile Hunijui jamani.
Mimi si ni Mpenzi wako.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom