Tonykp
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 1,642
- 680
kama sisi hatuendagi huko tutampelekaje?pili akajiuze au akanunue nini?
Shivas tena......au Mrina......
kama sisi hatuendagi huko tutampelekaje?pili akajiuze au akanunue nini?
nitakuja uoni Erickb52 ametangulia huko
Shivas tena......au Mrina......
Itabidi tuwasiliane aisee
sijui ndugu yangu na nashangaa kwanini hajaniaga wakati
nilikuwa namuandalia ticket ya FASTJET hivi hajui kuwa
ameniingiza hasara ya pesa yangu? itabidi ailipe tena hata
kwa ban maana ananishangaza huyu ......... wako cousin
sijui nimfanyeje? nitambadilisha mm ujue awe hivi :A S 2152:
kumbe uko Geneva mbona hujaniaga baby?
vibaya hivyo hujue mwenzio nachizika
mbona hajaniambia kama kaja huku?
yaani hata dadayake anashindwa kumwambia
hilo? sasa hapa nina kaka au nina nani cousin?
njiro .................sehemu gani?
anakufanyia surprise cousin
heee cousin kumbe umeanguka in love looh hapo juu nimeharibu duuuh, si ungeniambia mapema nisingemtaja yule kichuna?
Roho imeniuma ghafla, lazima nije nilipize kwa Ben Saanane hukohulo Dar
mkuu umehamia pande hizo au ni kwa muda tu...
heee cousin kumbe umeanguka in love looh hapo juu nimeharibu duuuh, si ungeniambia mapema nisingemtaja yule kichuna?
sio ya mchezo.........Chugga tunatisha........
njoo basi Mwanza......tule raha...........
Mwanza tena sio Arusha?