Asanteni Crew nzima ya wana Arusha-Wing....narejea Dar.

Asanteni Crew nzima ya wana Arusha-Wing....narejea Dar.

Nimewapenda sana kwa jinsi mlivyo na msimamo na Wing yenu.
Hakika nimejifunza vitu vingi toka kwenu.

Mzee wa Rula, PakaJimmy, Arushaone, Philipo, Tonykp, LiverpoolFC, mkiva... Preta, @Blakiwomani, Cantalisia, Lily Flower......nawapenda sanaaa.
IGWE....ulikuwa na haraka ya nini bhanaaaa!!!!

Nimepapenda sana The Narok.
Live Band.....tulikula na kula kwa furaha.
Nawapenda sana.
TUTAKUTANA SAFARINI MWANZA.
Mmmwwwahhhhhh....!!!!!!!

mkiva.....miss sana wewe.

.... nawapenda sanaaaa.
shemej nimetaman jaman nasisi tuunde wing yetu nataman tuonane i love you i ilove you i love youuuuu mwaaaaaaah
 
hahahaaa msamehe bure maana akili yake yote ilikuwa kwa kichuna wake Ladymasa akasahau mabeste zake

Mwambie huyo au hajui kuwa ni shemeji yake? jamani ma sisy Lady doctor yaani anamwita baby, mara anachizika jamani jamani ndo anamwambia hivyo shemeji yake! ntamkata mtu pua mimi kuchezewa mume wangu sitaki na ndomaana Hadija kopa kaimba maana watu wmezidi
 
Nimewapenda sana kwa jinsi mlivyo na msimamo na Wing yenu.
Hakika nimejifunza vitu vingi toka kwenu.

Mzee wa Rula, PakaJimmy, Arushaone, Philipo, Tonykp, LiverpoolFC, mkiva... Preta, @Blakiwomani, Cantalisia, Lily Flower......nawapenda sanaaa.
IGWE....ulikuwa na haraka ya nini bhanaaaa!!!!

Nimepapenda sana The Narok.
Live Band.....tulikula na kula kwa furaha.
Nawapenda sana.
TUTAKUTANA SAFARINI MWANZA.
Mmmwwwahhhhhh....!!!!!!!

mkiva.....miss sana wewe.

.... nawapenda sanaaaa.

Karibu tena Madam B km kawaida yetu tunapenda wageni
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom