Wo shi niubi
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,483
- 2,082
Shida kubwa ya nchi hii ni kutotambua kuwa ccm ni kubwa kuliko chochote kile Tanzania, hakuna taasisi inayo weza kwenda kinyume na ccm, ukienda kunyume utauliwa.
Tunahitaji mapinduzi nchini, tuna hitaji forced reforms ili kuepuka ujinga huu, otherwise hatuwezi kuwa na maendeleo.
Sisi haisikilizi wananchi, utendaji mbovu, hii yote wana jua silaha yao kubwa ni kupora ushindi kwa njia yeyote, hivyo Tanzania kuendelea kuwa masikini.
Tunahitaji reforms ili tuwe na effective Government ambayo inaogopa kuwa tusipofanya kazi kwa bidii kuleta maendeleo tuta pigwa chini na chama kingine kuingia madarakani.
Shida kubwa ni sisi wananchi, tumeambiwa mara nyingi kuwa achaneni na hizi chaguzi tupiganie katiba na tume uchaguzi, hata kama itatuchukua karne, kuliko kubariki chaguzi haramu baadae tunaumia miaka yote.
Tuweke vyama pembeni tupiganie maslahi ya Taifa, hatuwezi kuweka viongozi madarakani ambao kazi yao ni kukaa tu kusubiri uchaguzi waibe waendelee kukaa madarakani.
Tunahitaji mapinduzi nchini, tuna hitaji forced reforms ili kuepuka ujinga huu, otherwise hatuwezi kuwa na maendeleo.
Sisi haisikilizi wananchi, utendaji mbovu, hii yote wana jua silaha yao kubwa ni kupora ushindi kwa njia yeyote, hivyo Tanzania kuendelea kuwa masikini.
Tunahitaji reforms ili tuwe na effective Government ambayo inaogopa kuwa tusipofanya kazi kwa bidii kuleta maendeleo tuta pigwa chini na chama kingine kuingia madarakani.
Shida kubwa ni sisi wananchi, tumeambiwa mara nyingi kuwa achaneni na hizi chaguzi tupiganie katiba na tume uchaguzi, hata kama itatuchukua karne, kuliko kubariki chaguzi haramu baadae tunaumia miaka yote.
Tuweke vyama pembeni tupiganie maslahi ya Taifa, hatuwezi kuweka viongozi madarakani ambao kazi yao ni kukaa tu kusubiri uchaguzi waibe waendelee kukaa madarakani.