Asante sana Polepole hili ulilozingumza leo ni zito sana umelisanua Taifa juu ya Chaguzi feki, na vyama feki

Asante sana Polepole hili ulilozingumza leo ni zito sana umelisanua Taifa juu ya Chaguzi feki, na vyama feki

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
16,817
Reaction score
62,027
Kwa kweli katika mambo yote aliyoyazungumza Polepole, hili la kwamba CCM ina link ya moja kwa moja na mifumo ya NIDA na Taarifa za mpiga kura kwenye Tume ya Uchaguzi ni zito na zito mno. Kwa sasa hakuna Mtanzania yeyote aliye timamu anayeweza kushiriki chaguzi hizi feki.

Huu ujumbe wa Polepole uwafikie hata wanaCCM weweze kutafakari, waone kuwa wao wapo mle ndani ya chama kama rubber stamp tu ya kuwezesha ulaji wa wachache walioshika dola.Inabidi na wao wakasirike, waache kutumika kwa kanga, vitenge na baiskeli. Hili ni jambo kubwa, ni jambo zito.

Alichosema Polepole kinaupa uhalali msimamo wa NO REFORMS NO ELECTION wa CHADEMA. Utashirikije uchaguzi wakati tayari CCM ina connection kwenye taarifa za mpiga kura ndani ya iNEC?.
Ewe mwanaACT wazalendo, jitafakari uone kuwa kumbe hicho chama ulichomo ni project za watu ili kurahisisha waanzilishi wake kula pesa za wananchi kwa kufanya udalali wa Siasa?
Na kwako ewe Mtanzania. utapotezaji muda kushiriki chafuzi?.

Polepole leo kazungumza jambo zito sana, Hili jambo alilosema Polepole lisingefanikiwa kama Usalama wa Taifa ungelizuia, Kama haijalizuia maana yake ni kuwa hata Taasisi ya Usalama nayo imetumika kwenye kutengeneza mifumo feki ya siasa katika nchi hii. This is wrong!.

Asante sana Polepole kwa kulisanua hili jambo!
Umetimiza wajibu wako kwa Taifa.
 
Kwa kweli katika mambo yote aliyoyazungumza Polepole, hili la kwamba CCM ina link ya moja kwa moja na mifumo ya NIDA na Taarifa za mpiga kura kwenye Tume ya Uchaguzi ni zito na zito mno. Kwa sasa hakuna Mtanzania yeyote aliye timamu anayeweza kushiriki chaguzi hizi feki.

Huu ujumbe wa Polepole uwafikie hata wanaCCM weweze kutafakari, waone kuwa wao wapo mle ndani ya chama kama rubber stamp tu ya kuwezesha ulaji wa wachache walioshika dola.Inabidi na wao wakasirike, waache kutumika kwa kanga, vitenge na baiskeli. Hili ni jambo kubwa, ni jambo zito.

Alichosema Polepole kinaupa uhalali msimamo wa NO REFORMS NO ELECTION wa CHADEMA. Utashirikije uchaguzi wakati tayari CCM ina connection kwenye taarifa za mpiga kura ndani ya iNEC?.
Ewe mwanaACT wazalendo, jitafakari uone kuwa kumbe hicho chamani project za watu ili kurahisisha waanzilishi wake kula pesa za wananchi kwa kufanya udalali wa Siasa?
Na kwako ewe Mtanzania. utapotezaji muda kushiriki chafuzi?.

Polepole leo kazungumza jambo zito sana, Hili jambo lisingefanikiwa kama Usalama wa Taifa ungelizuia, Kama haijalizuia maana yake ni kuwa hata Taasisi ya Usalama nayo imetumika kwenye kutengeza mifumo feki ya siasa katika nchi hii. This is wrong!.

Asante sana Polepole kwa kulisanua hili jambo!
Huu ndio uhaini wenyewe, hii ni scandal kubwa sana kila raia mwema yapaswa kutafakari sana
 
Hii kikaragosi inaitwa J4 Mulilo unasema "masanduku ya kura yatalimdwa na kusindikizwa kwa nguvu kubwa" idiot!

Unasindikiza makaratasi wakati NIDA wameishapiga Kura kwa CCM kwa kutumia vitambulisho vyetu na kisha CCM wameishatuma Kura INEC tangu juzi!
 
Wangapi wamamsikia? Kumsikiliza je!
Wamesema wao kuwa mitandaoni ni 16% tu ya popolation ya kupiga kura na Kati yao 40% wanaishi nje ya nchi hivyo hawana wasiwasi
 
Sisi tusio na Kitambulisho cha kupiga kura lakini tuna NIDA, usikute tumeshashiri chaguzi zote zilizopita bila kujua...

"Kura" zetu zilitiki CCM na wamba wakashinda dadadekiiii
Ndiyo maana yake mkuu, ile idadi ya wapiga kura m 37 ni idadi ya Watanzania wote ambao wamefikisha umri wa kupiga kura na chimbo la kupata idadi hiyo ni NIDA hivyo tayari kura yako iko kwenye server za INEC na umemchagua Samia kuwa Rais wa Tanganyika tayari.
 
Back
Top Bottom