Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Nakumbuka miaka mitano iliyopita ilikuwa ya matusi kwa vijana eti wajiajiri kinara wa kutamka hivyo akiwa ni rais na Ndugai.
Sasa mama kaona Kulikuwa na tatizo mahara na Sasa both prive sector and public sector ziko active kutoa ajira. Kila aliyesoma angalau ana cha kufanya hata kama hakikidhi mahitaji.
Kipindi chanyumba mabarabara yalikuwa yameja machinga wenye digri na masters ambapo ilikuwa udhalilishaji lakini rais alikuwa hajaari na watanzania wengine walikuwa wanafurahia ile hali kiwivu wivu eti wasimi wamezidi kujidai Bora wafanane na mburula tu.
Asante manma na bado.
Sasa mama kaona Kulikuwa na tatizo mahara na Sasa both prive sector and public sector ziko active kutoa ajira. Kila aliyesoma angalau ana cha kufanya hata kama hakikidhi mahitaji.
Kipindi chanyumba mabarabara yalikuwa yameja machinga wenye digri na masters ambapo ilikuwa udhalilishaji lakini rais alikuwa hajaari na watanzania wengine walikuwa wanafurahia ile hali kiwivu wivu eti wasimi wamezidi kujidai Bora wafanane na mburula tu.
Asante manma na bado.