Let him appreciate her, there is no point ya kuishi na mtu kwa machale, usubiri hadi miaka 10+ ndo uanze kumuamini.. Amini tu katika kile anachokuonyesha mwenzio kwa wakati huo. Kuna watu kibao ndoa zao zilifail zikiwa na siku, weeks, months and few years; watu walishindwa kuvumiliana. Yes mtu yeyote anaweza badilika anytime, ila ni vyema tuishi na wenzetu in a +ve way, tusiwawazie mabaya kama hawajatuonesha mabaya yoyote.
Kuna watu wanashindwa kuappreciate wake zao sasa hivi, wanasubiria hadi wafikishe 10+ years, unashindwa kuenjoy your today kwa sababu ya kuhofia 10 years to come. Hata maisha ya kawaida yanabadilika kila siku ila hatujawahi kuacha kuyafurahia tukiassume yatakuwa worse huko mbeleni. Hata kama ndo ndoa ina siku moja, just appreciate your wife, sio ndoa zote zitafikisha hiyo miaka mingi. Ishi siku moja ya ndoa yako as if haitotokea mkaiishi tena