Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
- Thread starter
- #241
Sure brooYeah zile ni mbaya zaidi. Its okey
Kila step na wakati wake kwa miaka mitatu nayo ni step kubwa
Sure brooYeah zile ni mbaya zaidi. Its okey
Kila step na wakati wake kwa miaka mitatu nayo ni step kubwa
Pamoja sana mkuuAhsante sana
Thanks mkuuYou have the right to react not over-react
Hapo.ndio tunapishana
Ila kila la kheri
Kivipi mkuu???kampeni ya Makamba dhidi ya mazingira inakuhusu Nitunze nikutunze
Khaa ngoja na mim niende mwanza nikatengeDah bro! Barakallah lakumaaa. Nina mmanga wangu mama yake asli ya Yemen wa kule Mwanza....anasoma pia medical college.....ana dini mpaka najihisi mi simfai. Sijawahi mgusa. Tuliwahi kuhug tu. Allah anibariki nimuoe.
Naam mkuu! nilimkuta bikraMkuu ka hutajali, ulimkuta Bikra!?
Aamyn yaa rabbiMay allah grant her shifaa
Thanks mkuu! will take this into considerationNakushauri usioe wa pili hold her tight mpende yeye tuu najua dini inaruhusu ila hata kua nae yeye pekee dini pia inaruhusu kwa kizazi tulicho nacho wake wadogo watakutesa/stress kwenye jamii yangu nimeona watu wanao oa wake zaidi ya m1 kunakuwa na mivutano baada ya mzee kufariki sasa for the better destiny with u'r wife u'r children and family in general hold her tight mpende sana mtunze yeye na wana atakao pata kama Baraka kukoka kwa mwenyezi
Uko na bahati sana man
Yaa rabii taqabbal dua'anaAllah ya Allam mola awaongoze katika njia ya swilatil mstakim
Jambo la kheri hili.Wapo njema mkuu! I just came from hospital now na ntakwenda tena tonight, hopeful they will be discharged tomorrow
In shaa Allah. Ahsanteni wadau woooooote wa JF kwa maombi yenuJambo la kheri hili.
Basi utakapoenda jioni utufikishie salamu zetu za pongezi.
ahsnte sana mkuuHongera sana
Mungu ndie hakimu wa haki..sawq nimekubali..ila akiniattack sitomuacha salama..wake wadogo wanakero mnohahahhaa Mungu ndio hakim wa haki, me ningekua sina mda wa kufatana naye zaidi ningelia na mume wangu
ahsnte sana mkuu
Hongera kwa kua Baba mkuuAamyn aamyn! Swadakta mkuu.
By the way amejifungua leo na sasa nami ni baba
Umejipambanua kuwa mpingaji na mkosoaji kwa kila uzi, inaonyesha kuwa wajiona una akili kubwa japo wengi pamoja na mimi nakuona bonge la FALA, badilikaAkili za marioo bhana..bakurututu brain!!