Asante Mungu kwa kunipa mke huyu

Asante Mungu kwa kunipa mke huyu

mke mkubwa ana imani, moyo wake bado una mapenzi kwa mumewe jaman ndoa za wake wenza zioneni tu hakuna kitu kigumu kama kujua unashare maumbile ya mume wako na mwanamke mwengine japo dini inaruhusu lakini aisee bora awe mwema huyo mke ajaye
Na hao wajawo kuwapata wema ni 1 kati ya 20...wengi hao wanaingia kwenye ndoa kwa zumuni la kujionyesha wao ni bora kuliko waliowakuta..ndio maana mwisho wa siku mwanaume akiwa anafanya usawa hawa wadogo wanaongeza dawa..ili mkubwa aonekane si kitu

Kama ningekua kwenye dini yako madame s na ikatokea mke mdogo ameingia na hana adabu nisingemkawiza..ningemnyoosha kisawasawa
 
Relief Mirzska ni raha sana kusikia matukio kama haya, mke wangu ni kama wako ila naweza sema wangu ni zaidi. Ni mzuri, hana maringo, na akimshitukia rafiki yangu kuwa ni opportunist ni LAZIMA itatokea hivyo. Mafanikio yangu yote yatokanayo na biashara zangu ni kwa ajili ya mke wangu, she's one of a kind. Wema wake huwezi amini yaani hata kucheat naogopa, ni malaika wa hajabu sana na ninamshukuru Mungu kwa kunipa mke mwema maana naona nimependelewa mno. Samahani kama nimemkwaza mtu yeyote humu.
Mkuu hongera aisee JF inaitaji nyuzi kama izi Ili Kutu inspire wadada tuwe wake wema kwa wame Zetu....
 
Mkuu hongera aisee JF inaitaji nyuzi kama izi Ili Kutu inspire wadada tuwe wake wema kwa wame Zetu....
unaweza kuwa mke mwema msafi very innocent!..ngj nikufupishie mahesabu!km wajitambua ww ni inocent dada,hujui kucheat,mpenzi ulonaye ndo huyo huyo huna mzuka na men mwingne!!!!!bas tegemea magic kwenye ndoa yako!
yaan Mungu atakuletea mume wa majaribu kweli kweli !weka akilin hyo!LABDA AJITAMBUE KUWA NIMEPATA MKE MWEMA WALAU AFAKE KM huyu mtoa mada !la sivo!!!!!!!!!!!!!! usidhan wake wema hawapo !wapo sana ILA INAFIKIA KIPINDI UNAJICHOKEA TU!
 
unaweza kuwa mke mwema msafi very innocent!..ngj nikufupishie mahesabu!km wajitambua ww ni inocent dada,hujui kucheat,mpenzi ulonaye ndo huyo huyo huna mzuka na men mwingne!!!!!bas tegemea magic kwenye ndoa yako!
yaan Mungu atakuletea mume wa majaribu kweli kweli !weka akilin hyo!LABDA AJITAMBUE KUWA NIMEPATA MKE MWEMA WALAU AFAKE KM huyu mtoa mada !la sivo!!!!!!!!!!!!!! usidhan wake wema hawapo !wapo sana ILA INAFIKIA KIPINDI UNAJICHOKEA TU!
Duh mitihan ya dunia...
 
Na hao wajawo kuwapata wema ni 1 kati ya 20...wengi hao wanaingia kwenye ndoa kwa zumuni la kujionyesha wao ni bora kuliko waliowakuta..ndio maana mwisho wa siku mwanaume akiwa anafanya usawa hawa wadogo wanaongeza dawa..ili mkubwa aonekane si kitu

Kama ningekua kwenye dini yako madame s na ikatokea mke mdogo ameingia na hana adabu nisingemkawiza..ningemnyoosha kisawasawa
hahahhaa Mungu ndio hakim wa haki, me ningekua sina mda wa kufatana naye zaidi ningelia na mume wangu
 
Hongera sana Mkuu ,hakika huyo ni a true definition of wife material & our prayers are with you/her atatoka Salama Amin.
Thanks sana mkuu! ahsante sana kwa maombi yako/yenu

Wife amejifungua through operation like three hours ago. Shukran sana all JF members
 
Hongera pia kwa ku appreciate na kwa kuwa huru kuelezea hisia zako kwake kwa wengine.... every woman dreams of that hahaha. Hongera soon to be baba
Thanks sana mkuu! I am now a father. Namshkuru mungu maana si kila mtu anapata neema hii ya watoto
 
Una heri wewe uliyepata Mke Mwema. Walau leo tumesikia a very positive side ya ndoa badala ya zile story za kukatisha tamaa vijana wasioe eti kisa ndoa ni mateso na karaha...Ndoa ni paradiso bwana. Hongera pia kwa kujiandaa kumpoke kiumbe mpya. Kila la heri
Ahsante sana mkuu! Ndoa ambayo alishirikishwa mungu kwa kiasi kikubwa mara nyingi mola anaisimamia. Thanks sana mkuu, I am now a father
 
Back
Top Bottom