Arafat23
Senior Member
- Oct 12, 2017
- 110
- 107
May allah grant her shifaaAlhamdulillah na tumepata mtoto wa kiume however the mother is in severe pain right now
May allah grant her shifaaAlhamdulillah na tumepata mtoto wa kiume however the mother is in severe pain right now
Nakushauri usioe wa pili hold her tight mpende yeye tuu najua dini inaruhusu ila hata kua nae yeye pekee dini pia inaruhusu kwa kizazi tulicho nacho wake wadogo watakutesa/stress kwenye jamii yangu nimeona watu wanao oa wake zaidi ya m1 kunakuwa na mivutano baada ya mzee kufariki sasa for the better destiny with u'r wife u'r children and family in general hold her tight mpende sana mtunze yeye na wana atakao pata kama Baraka kukoka kwa mwenyeziI agree, I agree!! Ntaendelea kufanya hivyo mkuu! Amenipa rukhsa ni bora nioe mke wa pili kuliko kuzini, sasa hao wake wa pili hao, jitu unalitongoza linakwambia utanijengea nyumba kama mkeo??
Hongera sana kwa kupata mlinzi.Mkuu shemeji yenu amejifungua tayari. It's a baby boy ila wife yupo kwenye maumivu sana.Muda huu najiandaa kuelekea hospital again maana saa kumi na moja walitutoa manesi
Ni kweli mkuu, inawezekana ukawa na hoja ila unasemaje kuhusu zile ndoa ambazo zinadumu miezi sita tu na kufa??? Bado huoni miaka mitatu ni mingi?Ku assess uimara wa ndoa au tabia ya mke, things change people change.
Asubir subiri kwanza
May Allah guide us broo!Bro acha kabisa. Am working hard to be a real man, a Muslim man.
Dua zangu kwakoNgoja nitafute bro ntafanya
Tuombeane
Pamoja aiseeHongera sana mzeee
You said it all, won't add a damn wordLet him appreciate her, there is no point ya kuishi na mtu kwa machale, usubiri hadi miaka 10+ ndo uanze kumuamini.. Amini tu katika kile anachokuonyesha mwenzio kwa wakati huo. Kuna watu kibao ndoa zao zilifail zikiwa na siku, weeks, months and few years; watu walishindwa kuvumiliana. Yes mtu yeyote anaweza badilika anytime, ila ni vyema tuishi na wenzetu in a +ve way, tusiwawazie mabaya kama hawajatuonesha mabaya yoyote.
Kuna watu wanashindwa kuappreciate wake zao sasa hivi, wanasubiria hadi wafikishe 10+ years, unashindwa kuenjoy your today kwa sababu ya kuhofia 10 years to come. Hata maisha ya kawaida yanabadilika kila siku ila hatujawahi kuacha kuyafurahia tukiassume yatakuwa worse huko mbeleni. Hata kama ndo ndoa ina siku moja, just appreciate your wife, sio ndoa zote zitafikisha hiyo miaka mingi. Ishi siku moja ya ndoa yako as if haitotokea mkaiishi tena
Sure I will, but I dont want her to know my IDTena sana. Mwonyeshe Shem uzi huu akipata nguvu🙂
Wapo njema mkuu! I just came from hospital now na ntakwenda tena tonight, hopeful they will be discharged tomorrowMama na mtoto wanaendeleaje?
Yeah zile ni mbaya zaidi. Its okeyNi kweli mkuu, inawezekana ukawa na hoja ila unasemaje kuhusu zile ndoa ambazo zinadumu miezi sita tu na kufa??? Bado huoni miaka mitatu ni mingi?
Ahsante sanaDua zangu kwako
Hahahahhahaha! mkuu I have all the rights to overreact! Kuna baadhi ya meli tulishuka kabla hatujapanda mzee, let me sail far far far away from the fear of unknown with this beautiful creature! pamoja sana mkuuNa appriciate anacho kifanya nime furahi kuna watu at least wana enjoy ndoa
Ila nlikuwa nataka asi overreact meli haojang'oa nanga muda mrefu. Tunakumbushana tuu. I hope atafika mbali
Sure sureMuache tu ajimwaye mwaye. Tujifunze kuwazia na kuwanenea wenzi wetu mazuri, na ndivyo itakavyokuwa sawasawa na nguvu ya maneno yetu
hanks bruh! He is a friend to meHongera sana kwa kupata mlinzi.
Mbongo haswa mkuu, amezaliwa hapa hapa TZAnhaa... Kumbe sio mbongo kivile...
Ndo maana nilikuwa nasoma huku nashangaa
You have the right to react not over-reactHahahahhahaha! mkuu I have all the rights to overreact! Kuna baadhi ya meli tulishuka kabla hatujapanda mzee, let me sail far far far away from the fear of unknown with this beautiful creature! pamoja sana mkuu