Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,735
- 11,090
Lucas mwashambwa Kuna kazi yako Huku.
mchana kwenye pilikapilika nyingi ndio unatoboa.Magendo ukifanya usiku ndio balaa kabisa road block zote lazima ukaguliwe, magendo yanafanywa mchana mzee duniani kote
Nashindwa kuona walikaa vipi watu 20 kwenye V8.😂🤣Mtanzania Edward Erihard (31) Mkazi wa Dodoma anashikiliwa na Polisi Mkoani Manyara kwa kosa la kusafirisha kinyume na sheria Wahamiaji 20 Raia wa Ethiopia.
Akiongea Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani Manyara ACP Lucas Mwakatundu amesema tukio hilo limetokea March 23 2024 ambapo gari hilo limekamatwa katika kizuizi barabara ya Arusha Babati eneo la Minjingu likiwa na Wahamiaji ishirini Raia wa Ethiopia kwenye gari namba T.774 BDL Land Cruiser likiwa na bendera ya Chama cha Mapinduzi CCM.
“Gari hili V8 lilikuwa na Bendera ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na kwenye upekuzi tulipoona sura tofauti na Watanzania ilibidi tuweke gari pembeni na baadae kuwashusha tukakuta wapo Wahamiaji 20 kwenye gari V8 na wote uelekeo wao ni kusini mwa Afrika wakitokea usawa wa Arusha, Dereva wa gari hili ni Mkazi wa Dodoma tunamshikilia mpaka sasa na kesho tunatarajia kuwakabidhi Uhamiaji”
Chanzo: Ayo TV
Waarabu ni ndugu wa maza hatuna namnaMajambazi ni wengi sana mkuu, Kama ngorongoro yenyewe tumeamua kuiuza kwa waarabu... Serikali inafukuza masaasi(waafrika wenzetu) anathamini mtu baki kutoka nje ya nchi. NONSENSE KABISA.
Kule ni njaawanakimbia nini nchini kwao 😭😭😭
Njaa na vitawanakimbia nini nchini kwao
Wageni wa Kinana hao kwanini mnawakamata?Wasomali wakamatwa tanzania
Black Sniper$30,000 mkuu 😀,pesa yote hiyo kwa ajili ya kuvushwa boda la south,hii ni chai 😀
Hapo angejua hao wavushaji sio wa nchi hii
Nilipigiwa saluti nikiwa kwenye V8 😆 😂 😆 😂Uyu kachomwa na wahuni .Police wanavyo ogopa V8 nna bendera hivyo
Sasa kwani wahamiaji si wanaweza kujitambulisha kama wakimbizi ili kukwepa kesi ya uhamiaji haramWakimbizi ni wale ambao hawawezi kurudi kwao
Na wahamiaji wanaweza kurudi wakipata hifadhi walipo
Hawa ndo wanaokoteza tu story, mtu mwenye dola 30k hawezi risk kusafiri kwa hizo njia!$30,000 mkuu ,pesa yote hiyo kwa ajili ya kuvushwa boda la south,hii ni chai
Mhamiaji ni yule anaeingia kwenye nchi kama walivyoingia Wahindi na waarabu na mataifa mengi ili kuja kuishi na kuomba resident permitSasa kwani wahamiaji si wanaweza kujitambulisha kama wakimbizi ili kukwepa kesi ya uhamiaji haram
Yaani mtu ana USD 30,000 aache kwendq ulaya kihalali aende msubiji au SA???Wauza Unga wengi wameacha hiyo biashara maana kifungo ni kirefu sana
Ila kuvusha wakimbizi ni
a slap on the wrist
Na inalipa kweli
Kuna wanaolipa safari moja mpaka $30,000
Mzee tripu moja tu si ana bilioni na gari lenyewe unalirudisha kwa bosiKuna mmoja alihojiwaga yeye alulikuwa anawapakia kwenye scania mpaka 50 mwisho wa safari anachukua 10$k kwa kila kichwa kimoja