Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,989
Mkaguzi huyo amebainisha endapo club za kupambana ana uhalifu mashule zikiimarishwa mashuleni zitaibua taarifa nyingi za uhalifu wanaofanyiwa baadhi ya wanafunzi katika kata hiyo.
Mbali na hilo amewataka walimu kutengenezea mahusiano mazuri na kubadilishana taarifa kutoka kwa wananfunzi, wazazi na walezi wa wanafunzi hao ili kupata taarifa sahihi pindi wanafunzi hao wanapopata changamoto.