Arusha is so lovely. Decent smart people who know how to make money and have fun. Yaani hata sijui nisemeje. Nasubiri tu ku relocate Arusha.
As for you mtoa mada, nikupe pole tu.
ujuaji kila kitu mwajifanya mwaju.mwajifanya nyie ndio mmesoma hata kama hajaenda shule.ugomvi kupenda mob justice.kujisifia eti ninapesa hata kama hana.vijana wengi bang tu.bar zote vurugu.mji mchafu.mdogo umekaa kiswahili lakini sifa mnazo upa!
kwahiyo unataka kutuaminisha kwamba ntwara ni zaid ya arusha co
yeah, mtoa mada yupo sahihi kabisa amesema vitu vya ukweli kabisa...Mnamdharau mtoa mada lakini vitu alivyovisema vina ukweli na hali halisi ya kule, bt its ok coz kila mtu na life lake na sehemu yake, so carry on machalii
Sasa unataka kufananisha mtwara na arusha jamani, haya sema ni sehemu ipi ya mtwara unaweza fananisha na sehemu ipi ya arusha?Dah aisee nimekaa Arusha ila kyna vitu vingi nimeviona vya ajabu sana! Mji maeneo mengi ni mchafu sehemu kubwa, nimeshangaa unavyopigiwa chapuo, sijaukubali kabisa, mitaa mingi ipo kiswazi mbaya, Unga Limited, Sombetini, Ngusero, Morombo, Ngarunero-eti wanaita kwa wajanja, Kisongo balaa yaani maeneo mengi yapo hovyo sana! Mji una vumbi baya sijawahi ona tangu nzaliwe bali Arusha! ! Machalii wake wengi naona ni wastaraabu labda kwakuwa sijaingia anga zao, kwa sasa narudi zangu Mtwara ila sidhani kama nitarudi Arusha! Sijapapenda kwakweli hata kama nikilipwa mshahara wa haja
ujuaji kila kitu mwajifanya mwaju.mwajifanya nyie ndio mmesoma hata kama hajaenda shule.ugomvi kupenda mob justice.kujisifia eti ninapesa hata kama hana.vijana wengi bang tu.bar zote vurugu.mji mchafu.mdogo umekaa kiswahili lakini sifa mnazo upa!
Kwani huko si ndo kwenye mabilionea kibao?
Hahahaaaa kila mtu hukutana na vitu vya hadhi yake!kama hadhi yako ni uchafu hata utakapokua unaenda utakutana na uchafu....
ujuaji kila kitu mwajifanya mwaju.mwajifanya nyie ndio mmesoma hata kama hajaenda shule.ugomvi kupenda mob justice.kujisifia eti ninapesa hata kama hana.vijana wengi bang tu.bar zote vurugu.mji mchafu.mdogo umekaa kiswahili lakini sifa mnazo upa!
inaonyesha kuwa bado hujatembea vya kutosha mkuu,kama hapo unaposema kuwa arusha kuna vumbi hujawahi kuona watu watakushangaa sana,kwanza arusha kuna miti sana,.pia ni kati ya mikoa inayopata mvua za kutosha,arusha kuna misitu na milima,sijui unataka kupalinganisha na wapi?singida? huelewi kuwa sehemu zisizo na mvua za kutosha na miti ndizo huwa na vumbi jingi?kuhusu mitaa unayoita ya kiswazi sidhani hata kama unga ltd itaifikia kwa nusu mtaa kama manzese au kibera, labda kuhusu uchsfu nikuulize tu ndugu yangu unajua mkoa unaoongoza kwa kipindupindu tanzania hii?ns je unajua chanzo cha kipindupindu? sasa kama umezaliwa mkoa wa pwani mf-halafu mkoa wa kwanza kufika ikawa ni arusha,na wewe ulifikiri arusha ni ksma new york basi una haki kubwabwaja,ila kwa waliotembeatembea mikoani wanaweza kukudadavulia kwa usahihi ubovu na ubora wa arusha.Dah aisee nimekaa Arusha ila kyna vitu vingi nimeviona vya ajabu sana! Mji maeneo mengi ni mchafu sehemu kubwa, nimeshangaa unavyopigiwa chapuo, sijaukubali kabisa, mitaa mingi ipo kiswazi mbaya, Unga Limited, Sombetini, Ngusero, Morombo, Ngarunero-eti wanaita kwa wajanja, Kisongo balaa yaani maeneo mengi yapo hovyo sana!
Mji una vumbi baya sijawahi ona tangu nzaliwe bali Arusha! ! Machalii wake wengi naona ni wastaraabu labda kwakuwa sijaingia anga zao, kwa sasa narudi zangu Mtwara ila sidhani kama nitarudi Arusha! Sijapapenda kwakweli hata kama nikilipwa mshahara wa haja
Madhara ya Jogoo za asubuhi asubuhi haya.