Ako Kwaang
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 324
- 259
Naupenda mji wangu kwa sababu hawapapatikii mtu, wanapenda mabadiliko especially positive changes, wanajua kuisaka noti, na sio wavivu linapokuja suala la kusaka maisha mazuri bila kujidhalilisha (kupigwa risasi ukisaka hela makes you a real man than kusaka good life kwa kuliwa kabaang!!) Ni mtazamo wangu tu wadau!!!