Arusha na watu wake wote hovyo

Arusha na watu wake wote hovyo

Status
Not open for further replies.
Tumia akili wewe hebu weka sawa sio wote wapuuzi ka uwazavyo.....
 
unaandika pumba gani mjinga wewe arusha ndo jiji la watalii umeenda matejeo unafikiri matejeo ndo arusha pole sana akili za kuku
 
Kiukweli nilivyokuwa naisikia Arusha na nilivyofika ile picha niliyokuwa nayo kichwani kutokana na kusikia jiji hilo na sifa zake haikwendana kabisa. Nipa kaaida sana, Kilichopo ni uwepo wa watu wa mataifa mbalimali, Watalii wa mbuga na Mlima kilimanjaro tu. Lakini kwa mjini ni kawaida sana!

Mlima kilimanjaro haupo Arusha, Upo mlima meru bhana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom