Eric Mallo
Member
- May 30, 2012
- 59
- 6
Uzi huu utashangiliwa sana na wanywa viroba wa Lumumba plus mamluki wao Association of Criminals in Tanzania... Arusha Lema ni Rais ... kama ilivyo Mbeya Rais ni Sugu ...
hovyo kabisa
Uzi huu utashangiliwa sana na wanywa viroba wa Lumumba plus mamluki wao Association of Criminals in Tanzania... Arusha Lema ni Rais ... kama ilivyo Mbeya Rais ni Sugu ...
hovyo kabisa
ni wakati sasa wa chama kuwacha mawazo ya kihafidhina na kuwa tayar kukubal kutokukubaliana
Tena Ni Zaid Ya Hovyo
Leo mnamkana Kamanda mwenzenu kisa tu amesema ukweli kuhusu Profesa LEMA?
Hali halisi ndio hii, na mawazo ya Hijja Madava ndio mawazo ya kila mwana Arusha mjini.
CHADEMA tuondoleeni hii takataka hapa mjini kwetu!!
Hapa muhuni ni wewe, tena mwizi wa mfukoni
Mbavu zangu Kamanda
Hovyo ni pale kujifanya kamanda kumbe nifisi
ID yangu inawapa ukweli Wasaliti kama wewe hatuta wavumiliaWe Twambie Lema Kafanya Nini Arusha? Kama Huna Hoja Kaa Kimya Kwani ID Yako Inakifedhehesha Chama
We Twambie Lema Kafanya Nini Arusha? Kama Huna Hoja Kaa Kimya Kwani ID Yako Inakifedhehesha Chama
Mbunge gani kafanya mazuri ARUSHA ....?
Anza na Nsilo Swai,Ole Saibul,Afande Mbagga wa Magereza,Mh.Kinana,Mrema,na sasa Lema.
Mkuu Hivi Unajua Wakati Lema Anatutia Hasira Kwamorombo Wanachotea Maji Fidfos Na Wana Mabomba Nyumbani Na Wanayalipia
Tatizo la maji TZ yote liko kisiasa kwa manufaa ya walio madarakani.Wanajuwa MAJI ni uhai ndio maana wanatumia silaha hiyo.Nenda extra mile pande zote ....anza ni kwa nini kifungu cha kuwawajibisha wabunge kiliondolewa.....???pili..ubungo kuna chuo cha maji na kuna shida ya maji.