Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,697
- 272,565
hivi leo ukisoma uzi wako unaonaje ?
Leo mnamkana Kamanda mwenzenu kisa tu amesema ukweli kuhusu Profesa LEMA?
Hali halisi ndio hii, na mawazo ya Hijja Madava ndio mawazo ya kila mwana Arusha mjini.
CHADEMA tuondoleeni hii takataka hapa mjini kwetu!!