Arusha na CHADEMA yao, Lema na wahuni wake

Arusha na CHADEMA yao, Lema na wahuni wake

Kama vijana wachadema ni wanywa viroba,je,wenye sera ya kujenga viwanda vya viroba hukumu yao ni ipi?
 
Jipange upya mwache Lema km umemchoka hamia kwa zzk. Uwezo wa kufikiri mdogo au wewe ni gamba tu unatuinjoi na escrow zenu.
 
Leo mnamkana Kamanda mwenzenu kisa tu amesema ukweli kuhusu Profesa LEMA?
Hali halisi ndio hii, na mawazo ya Hijja Madava ndio mawazo ya kila mwana Arusha mjini.
CHADEMA tuondoleeni hii takataka hapa mjini kwetu!!

kumbe wewe ndo choo
 
Last edited by a moderator:
Mleta mada ana akili kama za mama yake!!

sasa hivi ni asubuhi bado ujatupia kijogoo hebu nipe vipaumbele vitatu ambavyo lema ameshughulika navyo miaka mitano ya ubunge wake ukishindwa kula kijogoo kisha unitus
 
sasa hivi ni asubuhi bado ujatupia kijogoo hebu nipe vipaumbele vitatu ambavyo lema ameshughulika navyo miaka mitano ya ubunge wake ukishindwa kula kijogoo kisha unitus
Nilishaweka Thread Hapa alichofanya na anachotegemea kufanya wacha upotoshaji

Chadema Kwanza
 
Back
Top Bottom