masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,825
- 16,903
Kama Hicho Ulichojipinda nacho hapo kwenye kona? Usipotumia hicho kitu kiwanda kitakosa mapato mengi sana maana ndio kinywaji chako nakujua sana
mkuu jibu hoja
lema anafaaa au hafai mbona hampendi viongozi wenu kukosolewa HAKUNA DEMOKRASIA YA NAMNA HIYO
lazima wananchi watoe maoni yao kuhusu anaewawakilisha
YAANI CHADEMA UKIWA NA MTAZAMO TOFAUTI WEWE NI MSALITI YAANI VIONGOZI WAOGOPEKE NA WANANCHI??