Arusha na CHADEMA yao, Lema na wahuni wake

Arusha na CHADEMA yao, Lema na wahuni wake

Visima Vina Maji Meng Tatizo Miundombinu Na Fedha Hakuna

Good........umejibu swali lako...kwa nini hakuna pesa??? Je ni kosa la Mbunge?? Tunatakiwa tupewe mamlaka ya kuwasimamia wabunge ili nao pia waisimamie serikali tupate maji.INAWEZEKANA KABISA.
 
Good........umejibu swali lako...kwa nini hakuna pesa??? Je ni kosa la Mbunge?? Tunatakiwa tupewe mamlaka ya kuwasimamia wabunge ili nao pia waisimamie serikali tupate maji.INAWEZEKANA KABISA.

bajeti ya halmashauri inafanya kazi gani wabunge imara wako tayari kutafuta hata wafadhili mfano mzee ndesamburo
 
Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ametaja mambo kadhaa aliyofanya katika kipindi cha ubunge wake.

Akizungumza na Sunrise Radio leo Lema ameyataja mambo hayo kwa uchache kuwa ni pamoja na kwamba Kiwanda cha General tyer kilitaka kuzwa amekizuia pia mbunge huyo amerudisha kiwanja cha hospitali njiro kilichouzwa.

Mjumbe huyo wa Kamati Kuu Chadema amesema pia anatarajia ambulance kuingia Arusha mwezi wa nne.

Pia Lema akishirikiana na madiwani wa Chadema Arusha waneweza kuwekwa lami mpaka vichechoroni ikiwa ni pamoja na mapato ya halmashauri ya jiji la Arusha kupanda maradufu ikilinganishwa na kipindi alichoingia madarakani.
Bila kusahau Hivi Punde litatoka Gazeti la Mbunge

By-Mwanahabari Huru:
"Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ametaja mambo kadhaa aliyofanya katika kipindi cha ubunge wake.

Akizungumza na Sunrise Radio leo Lema ameyataja mambo hayo kwa uchache kuwa ni pamoja na kwamba Kiwanda cha General tyer kilitaka kuzwa amekizuia pia mbunge huyo amerudisha kiwanja cha hospitali njiro kilichouzwa.

Mjumbe huyo wa Kamati Kuu Chadema amesema pia anatarajia ambulance kuingia Arusha mwezi wa nne.

Pia Lema akishirikiana na madiwani wa Chadema Arusha waneweza kuwekwa lami mpaka vichechoroni ikiwa ni pamoja na mapato ya halmashauri ya jiji la Arusha kupanda maradufu ikilinganishwa na kipindi alichoingia madarakani.
Bila kusahau Hivi Punde litatoka Gazeti la Mbunge"
Chademakwanza,
Point of correction Pls siyo tyer ni tyre.

Pia sijaona Lema nini amekufanya hapo Arusha let's be sincere and open kweli miaka mitano kukomboa kiwanda hata kazi hakijaanza kweli inatosha kwa miaka mitano?

Lema hujafanya chochote kwa kweli hata mbunge Wangu wa Iramba Magharibi Mh Mwigulu kafanya mengi sana mfano vijijini umeme vijiji 46 Sasa vikikamilika 89% Ya Iramba itakuwa na umeme, vituo vya afya 4, zahanati 9, barabara Sasa kila corner Ya Iramba inapitika, maji vijiji 13, CHF ndio kinara Iramba, food security 100%, ufaulu umeongezeka primary na secondary, Sasa sekondari inahitajika walimu 120 tu Kati Ya hao 74 wa Sayansi kumaliza tatizo la walimu kabisa.

Viwanda vidogovidogo 53 vya kukamua Alizeti vipo kila kijiji na tayari vimeanza kazi na vi kubwa viwili vya Ndago na Ulemo ambayo jumla Ya vijana 600 wataajiriwa.

Hayo ndio mambo Ya kuwaambia wananchi siyo ambulance tena Ya kufikirika kweli? Mwigulu katoa ambulance 2 na kazi zinafanya Sasa! Acha USANII Lema kama huwezi siasa kaa mbali na kamwe usidanganye watu maana mwisho wa siku watajua na watakuchukia milele
 
bajeti ya halmashauri inafanya kazi gani wabunge imara wako tayari kutafuta hata wafadhili mfano mzee ndesamburo

Lema kweli hajafanya chochote jamani yaani miaka mitano anaongea rhetorics kama hizi ati kiwanda cha matairi kweli?

Arusha barabara ni mbovu kuliko hata mtwara, Dodoma, morogoro na Singida.

Arusha Ya Lema ni mbovu kwa foleni, Miundonbinu mibovu, Usalama zero, uchumi umedorora yaani kila kitu kipo shaghalabaghala!

Arusha inazidiwa na Morogoro? Dodoma? Mtwara? Kwa Miundonbinu kweli?
 
Good........umejibu swali lako...kwa nini hakuna pesa??? Je ni kosa la Mbunge?? Tunatakiwa tupewe mamlaka ya kuwasimamia wabunge ili nao pia waisimamie serikali tupate maji.INAWEZEKANA KABISA.

Thanks Allah,

Sasa Arusha wameanza kuona jiji Lao linakoelekea na hali Ya uchumi unavyokwenda. Arusha na umaarufu wote Sasa hakuna kitu lakini kwa maandamano mnastahili pongezi za dhati kabisa!

Mmefanya vyema kwenye maandamano, kulipua mabomu, kuharibu sifa za Arusha, foleni kali sana, Miundonbinu mibovu kwa hayo hongereni sana!

Lema hongera sana kwa hayo hapo juu!
 
Arusha Ya Leo ni miongoni mwa majiji na miji mibovu isiyo na Usalama Tanzania!
 
Hakuna wa kumtoa Godbless Arusha, ccm mnapoteza mUda Arusha mjini
 
Chademakwanza,
Point of correction Pls siyo tyer ni tyre.

Pia sijaona Lema nini amekufanya hapo Arusha let's be sincere and open kweli miaka mitano kukomboa kiwanda hata kazi hakijaanza kweli inatosha kwa miaka mitano?

Lema hujafanya chochote kwa kweli hata mbunge Wangu wa Iramba Magharibi Mh Mwigulu kafanya mengi sana mfano vijijini umeme vijiji 46 Sasa vikikamilika 89% Ya Iramba itakuwa na umeme, vituo vya afya 4, zahanati 9, barabara Sasa kila corner Ya Iramba inapitika, maji vijiji 13, CHF ndio kinara Iramba, food security 100%, ufaulu umeongezeka primary na secondary, Sasa sekondari inahitajika walimu 120 tu Kati Ya hao 74 wa Sayansi kumaliza tatizo la walimu kabisa.

Viwanda vidogovidogo 53 vya kukamua Alizeti vipo kila kijiji na tayari vimeanza kazi na vi kubwa viwili vya Ndago na Ulemo ambayo jumla Ya vijana 600 wataajiriwa.

Hayo ndio mambo Ya kuwaambia wananchi siyo ambulance tena Ya kufikirika kweli? Mwigulu katoa ambulance 2 na kazi zinafanya Sasa! Acha USANII Lema kama huwezi siasa kaa mbali na kamwe usidanganye watu maana mwisho wa siku watajua na watakuchukia milele

Wee gamba usifananishe arusha na singida unajua maana ya kiwanda wewe au mtu mwenye mashine ya kukamua alizeti nyumbani nacho nikiwanda lema ni Mbunge wangu kwamaana mm nimpiga kura wake sio uko iramba mnakunywa maji ya madimbwi unajisifu una Mbunge wadanganye wasio ijua iramba
 
Wakuu Wana Waumini Wa Mabadiliko Ya Kweli Na Uhuru Wa Kweli

Mie Binafsi Kama Mzawa Na Mkazi Wa Arusha Ni Mumini Wa Mabadiliko Na Hiv Ndivyo Ilivyo Kwa Wengi Ndani Ya Mkoa Huu

Japo Tuna Bahat Mbaya Lakini Hatukati Tamaa Mwaka 1995 ulimchagua Makongoro Atuwakilishe Dodoma Ila Tukajajua Kuwa Makongoro Ni Muhuni Tu Tukajikuta Tunarejea Ccm Lakini Mwaka 2010 tukamwona kijana aloonyesha ni mwana mapinduz yakweli Godbles Lema Bila Ajizi Tukamchagua Sasa Tumekuja Kuona Kuwa Naye Ni Kama Makongoro Tunahitaji Mbunge Kama Lisu Au Mnyika Ccm No Arusha Hom Boy Wetu Kinana Anajua Ila Tunataka Mbunge Bora Ndani Ya Chama Bora.
Muhuni lazima atakuwa baba yako maana inaonekana huna adabu
 
Mm mwenywe ni mkazi na muhumini wa mabadiliko ya mkoa na jiji letu la arusha... Lema hatutoshi tena
....anafuruga amani na kufanya utalii na wafanyabiashara kushindwa kufanya kazi zao
.....sio mwanamapinduzi wa maendeleo ya kweli amekuwa mwanamapinduzi wa vyama
....hana fikra endelevu watakayo wanaarusha.
..at all the is not creative and leadership ni mropokaji tu.
N.k
 
Chademakwanza,
Point of correction Pls siyo tyer ni tyre.

Pia sijaona Lema nini amekufanya hapo Arusha let's be sincere and open kweli miaka mitano kukomboa kiwanda hata kazi hakijaanza kweli inatosha kwa miaka mitano?

Lema hujafanya chochote kwa kweli hata mbunge Wangu wa Iramba Magharibi Mh Mwigulu kafanya mengi sana mfano vijijini umeme vijiji 46 Sasa vikikamilika 89% Ya Iramba itakuwa na umeme, vituo vya afya 4, zahanati 9, barabara Sasa kila corner Ya Iramba inapitika, maji vijiji 13, CHF ndio kinara Iramba, food security 100%, ufaulu umeongezeka primary na secondary, Sasa sekondari inahitajika walimu 120 tu Kati Ya hao 74 wa Sayansi kumaliza tatizo la walimu kabisa.

Viwanda vidogovidogo 53 vya kukamua Alizeti vipo kila kijiji na tayari vimeanza kazi na vi kubwa viwili vya Ndago na Ulemo ambayo jumla Ya vijana 600 wataajiriwa.

Hayo ndio mambo Ya kuwaambia wananchi siyo ambulance tena Ya kufikirika kweli? Mwigulu katoa ambulance 2 na kazi zinafanya Sasa! Acha USANII Lema kama huwezi siasa kaa mbali na kamwe usidanganye watu maana mwisho wa siku watajua na watakuchukia milele
Lema amekua Mbunge kwa miaka 5? Unakumbuka alisimamishwa na Mahakama kwa miaka mingapi kutokana na ccm? Unajua makandokando ya General Tyre? Unajua ccm walikula pesa kiasi gani za halmashauri? Open space Arusha hakuna ccm waliuza zote hayo nikwauchache sana
 
1. Kazuia General Tyre Isiuzwe Twambie Kwa Sasa Wanazalisha Tan Ngapi Za Tair Kusingekuwa Na Mpango Wa Kuuza Kiwanda Hicho Angefanya Nini?
2.Kaludisha Kiwanja Cha Hospital Alimpeleka Nan Mahakamani Aliehusika Na Wizi Huo Au Kwakuwa Alonunua Ni Kaka Yake Wamekaa Kifamilia Wakakirudisha?

Hayo Ya Bajet Ya Jiji Wala Si Yake Ni Mambo Ya Mea Na Mkurugenzi Barabara Ni Mpango Wa Kitaifa Kuboresha Jiji

Asante sana kwa point hizi sasa unazidi kujionyesha rangi yako fwatilia vikao vya Madiwani ndio utajua lema kafanya nini
 
moshi wanasema wameichoka na hawajaona jipya kwa machadema.arusha wanasema wamejuta kuijaribu.hawarudii tena kupima kina cha maji kwa miguu yote miwili..manyara yote hadi kwa maeneo ya hanang kwa mary nagu hawataki hata kuisikia..wanasema kuwa wanasubiri saa na dakika iwadie wafanye kweli
 
moshi wanasema wameichoka na hawajaona jipya kwa machadema.arusha wanasema wamejuta kuijaribu.hawarudii tena kupima kina cha maji kwa miguu yote miwili..manyara yote hadi kwa maeneo ya hanang kwa mary nagu hawataki hata kuisikia..wanasema kuwa wanasubiri saa na dakika iwadie wafanye kweli


haya kachukue kopo ukachambe...
 
Unaongea kinyume au unamaanisha?Kaskazini wamesha delete ccm.October ndio finishing.
 
peopleeeeeeez power octoba chadema inaingia magogoni na arusha ni chadema mileleeeeee
 
Back
Top Bottom