Hizi ni habarti njema. Maana wana Arusha wangemkata shingo kama angekubali mlungula wa fisadi Lowasa. Pia ingewakatisha tamaa wananchi kujiandikisha kupiga kura maana kura zao wangeona hazina maana tena.
Jamani eeeeeh! kuna habari nimezipata punde kuwa kule Mbulu na Hanang wanataka kuchakachua pls pls watu wa huko kuweni makini hii imetoka ndani ya mtandao wa kuaminika wa JK.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.