niko usawa wa mita 200 kutoka office za manispaa ya arusha kwa mda wa masaa mawili sasa.hali ya hapa si shwari kwani kuna tetesi kuwa lowasa amefika na kufanya kikao na mgombea wa chadema.kwa mda wote wafuasi wa chadema ndio waliokuwa wamejaa ila sasa wafuasi wa CCm wamenza kupita hapa maeneo ya clock tower.anyway watu bado tunasubiri kwa hamu kujua nini kitaendelea.stay tuned for more information.
huyo lazima apambane kwa ajili ya hawara yake ili akiwa dodoma apate liwazo lake wa-arusha msikubaliSaubiri tuone.
Taarifa nilizonazo mbona matokeo yamekwisha kutangazwa?
Sasa atafanya nini? Asije akawa na tamaa ya mzee fisi na akirudi Monduli akakuta Chadema imemliza kama Magufuli tunavyosikia amelizwa kule Chato.............
Taarifa nilizonazo mbona matokeo yamekwisha kutangazwa?
Sasa atafanya nini? Asije akawa na tamaa ya mzee fisi na akirudi Monduli akakuta Chadema imemliza kama Magufuli tunavyosikia amelizwa kule Chato.............