Arusha- Mji wa kitalii - mji uliojaa kinyesi

unalilia nini wewe si umwambie lema akitoe hivyo vinyesi vyenu! Kwani kazi ya lema nini au maandamano tu ndio mnayojua.
Acheni uchafu nyie watu wa arusha, mnajisaidia hovyo hovyo halafu mnalalamika
umekalia tu politiki!
 
Unajua vitu vingine ni majukumu ya mbunge wa eneo husika ndio anatakiwa kushughulikia.
Tawapeni mfano mmoja mimi binafsi mbunge wangu ni Halima Mdee, imepita miezi kama miwili alifanya mkutano na wapiga kura wake maeneo ya Kawe, nilikuepo kwenye mkutano huo Mbunge wetu Halima Mdee, alisema wenye kero yoyote naowamba mniambie ili nizishughulikie.
Wapiga kura wakaeleza kero zao mbunge hakazichukuwa na baadhi kazifanyia kazi kama mbunge na katatua baadhi ya kero ikiwemo usafi. Sasa nyie mjaribu kumpelekea Lema haya matatizo au yeye sio muhusika
Na vingine...
 
Crashwise,
Ebu nitajie kazi za Mbunge jimboni kwake ni zipi?

kwani za huyo halima mdee ni kufanya mikutano na kuwauliza wananchi wake kero basi,......acha hizo bana kazi za mbunge ni kuwakilisha wananchi wa jimbo lake na wa tz kwa ujumla....sasa kuwakilisha watu kuna upana wake
 
Unalilia nini wewe si umwambie Lema akitoe hivyo vinyesi vyenu! Kwani kazi ya Lema nini au Maandamano tu ndio mnayojua.<br />
Acheni uchafu nyie watu wa Arusha, mnajisaidia hovyo hovyo halafu mnalalamika
<br />
<br />
Unawaza kwa ku2mia masaburi yako nini?
 
kwani za huyo halima mdee ni kufanya mikutano na kuwauliza wananchi wake kero basi,......acha hizo bana kazi za mbunge ni kuwakilisha wananchi wa jimbo lake na wa tz kwa ujumla....sasa kuwakilisha watu kuna upana wake
IGWE,
Kwa hiyo kazi za mbunge kuwakilisha wapiga kura wake na wananchi kwa ujumla bungeni?
Kwa hiyo ndani ya jimbo lake ana kazi yoyote ya kufanya?
 
matatizo ya wazee kufanya ngono, umri umeenda, matokeo yake ndo haya sasa, watoto hawajulikani kichwa ni wapi na makalio ni wapi.
Wewe kuongea haya maneno sikushangai sana nimeishakusamehe siku nyingi akili yako inaitaji ushauri kutoka kwa Psychopathology. Kichwa chako saizi kimejaa Viroba vya Vldimir Vodka na Count Pushkin
 
Kwa ujumla watanzania bado hatuna elimu elekezi inayohusiana na mazingira! Utakutana na mtu ananunua ndizi anatembea huku anakula halafu baada yakumaliza anatupa maganda barabarani! mwisho wa maarifa yote nenda mkoa wa kilimanjaro pale Moshi mjini ukitupa tu hata ganda la BigGee<br />
ukishikwa unatiwa adabu kwakupigwa faini ya sh 50'000.
<br />
<br />
MOSHI KUMENINYOROSHA,HATA HAPA DAR NAOGOPA KABSA TUPA TAKA HOVYO , HALAFU HATA MAJI ULOFULIA HURUHUSIWI KUM1AGA NJE LOOL
 
Back
Top Bottom