Unajua vitu vingine ni majukumu ya mbunge wa eneo husika ndio anatakiwa kushughulikia.
Tawapeni mfano mmoja mimi binafsi mbunge wangu ni Halima Mdee, imepita miezi kama miwili alifanya mkutano na wapiga kura wake maeneo ya Kawe, nilikuepo kwenye mkutano huo Mbunge wetu Halima Mdee, alisema wenye kero yoyote naowamba mniambie ili nizishughulikie.
Wapiga kura wakaeleza kero zao mbunge hakazichukuwa na baadhi kazifanyia kazi kama mbunge na katatua baadhi ya kero ikiwemo usafi. Sasa nyie mjaribu kumpelekea Lema haya matatizo au yeye sio muhusika