Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,385
kama kenya bablayHilo chapalala ni kwikwi chalii yakee
kama kenya bablayHilo chapalala ni kwikwi chalii yakee
Haina KABAYA baba la baba.yechu yechu dingii,lichuga tunabofonga maslang yetu,hao mashori wa dar wakituletea lomoni ,tunawapa mabam bam, majabal na mabeto alaf tunawadownload mamanegram .haina noma arif mim nakula fasi ya coment g g ya. Limoro
Hawa mbona ni kama wehu nao ni Wa arusha?MachapararaView attachment 949589
sio wehu hao, ni culture tu wameamua kuvaa hivyoHawa mbona ni kama wehu nao ni Wa arusha?
Lugha hii ni kama singeli, kesho kutwa tu haipo.Ha ha ha ha
We Tazama Video Yao Hapa Chini Kisha Toa Maoni Yako
ha ha ha ha ha mbona wwe kama sio alachuga mzeeeiyaaaIvo madingii kama nawadere mnavopambana ya ela yote chuga amnaga lomoni ni uwezi wakuta wamekaa kiree road ni fuluh kupambana 24/7
ha ha haaaaaaUmenidekereee arifu! Unatimba zako ndichi huko fyade unakuta mambo yechu yechu unatiririka mwendo wa ngiri ukifika maniaje unaprinti moko moko huku unapambania ela yote! Aikatai aikatox
Mina ally amekunyima nini mkuu..kuwa tu mkweli??Huu ni ujanja au ujinga....hii fiesta ndo mana ilipigwa fimbo na Wasafi festival...chapati kama kalai..bangi zikikujaa vibaya uanweza ukawa unafkri kwa kutumia kijampio..huyo mina aly kawekwa kwenye tangazo la kujiftisha sauti ya kiumen ila anang'ang'aniza kuita baibee...kiujumla tu ni ushamba tusizunguke zunguke sana
Sasa yule famba nitake nin kwake mkuu...huyo si dume jike..ila anafaa kwa fani yake make dunia inahtaj watu kama hao waiburudishe...ila tukija kwenye personal issue hasa kwenye mahusiano...atasota sana yule...ila mnavimbisha kichwaMina ally amekunyima nini mkuu..kuwa tu mkweli??
Hacha unafiki kwani fiesta haikufanyika arusha ?hawa ndio waliitia kimavi fiesta
Aaa wewe sio wa Ngaleloo ni waki wa kikuzi wa fasi ya LumumbaHaikatai.machalii wa ngaleloo tusomane hapa
Lugha ya chuga;Mbona mpk sasa tayari Chugga wana sleng yao na huipati popote pale zaidi ya Chuggaa kwa akina chaliiii yangu niajeeeeeee
Usinichukulie kiree chalangu me mhuni mmoja wa morombo af kitambo tu na mfeel kinyama Magufuli ndo type za ki hip-hop tunazofagiliaAaa wewe sio wa Ngaleloo ni waki wa kikuzi wa fasi ya Lumumba
Ha ha ha ha mbona kama unaforce mkuuuUsinichukulie kiree chalangu me mhuni mmoja wa morombo af kitambo tu na mfeel kinyama Magufuli ndo type za ki hip-hop tunazofagilia
Sleng zao wanatohoa kutoka kule Kenya haswa NairobiMbona mpk sasa tayari Chugga wana sleng yao na huipati popote pale zaidi ya Chuggaa kwa akina chaliiii yangu niajeeeeeee