covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 4,900
- 10,664
Mse ni kifupi cha Msendema huyu ni wanawake wangu tulioishi nae miaka 8, nilimpenda sana na nilifanya juhudi sana kufahamu lugha ya kwao kisandawe na hii ni sababu ya yeye kuwa na mazoea ya kuongea na mama yake kwa kikwao kila siku na akiongea lazima hunipa simu nimsalimie basi niliadhimia nijifunze lugha yao ili mambo yawe safi si umnajua ukipenda ua penda na boga lake niliweza vizuri tu na nikawa pia namsalimia mama yake kwa lugha yao
Sasa last week ameniacha tena ameniacha vibaya sana issue sio kuachwa hapa issue ni hii lugha niliyojifunza nawaza nitakuwa naongea na nani!
"mse Mungu anakuona"
Sasa last week ameniacha tena ameniacha vibaya sana issue sio kuachwa hapa issue ni hii lugha niliyojifunza nawaza nitakuwa naongea na nani!
"mse Mungu anakuona"