THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,729
- 3,288
Habari wanajukwaa
Nimeangalia michezo ijayo ya Simba katika michezo 4 jayo kwenye ligi. Aiseeee 😁😁
Niseme tu kwa hii Fixture Simba itapata ushindi mmoja na itasare michezo 2 na itapoteza mchezo moja. Sitaki kuwambia kwanini nimetabiri hivyo ila subirini.
Na ikifanya mzaha huenda ikapata points 4 tu.
Toa Maoni yako unaonaje wewe?
#Mnaruhusiwa Kutukana
Nimeangalia michezo ijayo ya Simba katika michezo 4 jayo kwenye ligi. Aiseeee 😁😁
Niseme tu kwa hii Fixture Simba itapata ushindi mmoja na itasare michezo 2 na itapoteza mchezo moja. Sitaki kuwambia kwanini nimetabiri hivyo ila subirini.
Na ikifanya mzaha huenda ikapata points 4 tu.
Toa Maoni yako unaonaje wewe?
#Mnaruhusiwa Kutukana