Arusha: Mgomo wa daladala na pikipiki

Arusha: Mgomo wa daladala na pikipiki



Wana JF,

Mwajua me nilidhani a Time Boom will take the ages kulipuka sasa naona kumbe muda wake umefika hata huko 2013 sidhani kama tutafika kwa hali hii ya police kufanya vitu makusudi.

Mkuu 2013 inaweza ikafika hilo halina shaka ... Sasa yuko wapi Kiogozi wa kisereakali mwenye FIKRA na AKILI nzuri wa kwenda Kufanya maamuzi mazito ya kumfanya HON LEMA atoke gerezani kuzui kinachotokota? ... wote .. VIBURI JUU ... na Lema alijua ATAWAKAMATIA PA BAYA... hawana ubavu wakumfanya oteke ndani na kuzima nguvu kubwa inayojipanga kulipuka....Wait and see!!! .. vita si lazima Mabomu ..Psychology kidogo tu!!

Please understand it all no hard feelings n all this ...Basi fanyeni kila namna Atoke Gerezani MTAWEZA..!!!????
 
KULAANI NA KUPINGA OCD-ARUSHA KUWAITA WANANCHI "PANYA".


hiii ni hatari kama wapiga kura tunaitwa panya hawa jamaa wamefika mbali sana sasa
naona wanaanza kuleta dharau za wazi wazi kabisa lazima watu waingie barabarani

gadafi aliita watu panya lakini mwisho wa siku alisokomezwa vijiti matakoni na hao panya..so ocd arusha siku yako inakuja
 
KULAANI NA KUPINGA OCD-ARUSHA KUWAITA WANANCHI "PANYA".


hiii ni hatari kama wapiga kura tunaitwa panya hawa jamaa wamefika mbali sana sasa
naona wanaanza kuleta dharau za wazi wazi kabisa lazima watu waingie barabarani

Hivi yule raisi aliyewaita wapiganaji nchini kwake panya alikuwa nani vile???
 
Solidarity for ever! Peoples Power!
huo mgomo upokelewe nchi nzima na Zuberi Mwombeji awajibishwe kwa kuwaita wanadamu wenzake panya!

Kama kweli huyu jamaa kawaita wana arusha ni panya basi awajibishwe mapema. Vongozi kama hawa ndio watakaoitumbukiza Tanzania kwenye machafuko mabaya. Wakumbuke kwamba Gadafi aliwaita wanamapinduzi wa libya mamende na panya. Leo yuko wapi?
 
Mzaha mzaha.....kama watu wa daldala wakigoma kama walivyopanga na wanachi kuna hatari ya kuandamana na sisi kuungana nao na hapo ndiyo watajua mbichi na mbivu...........

BADO SEREKALI inaweza kunusuru ... na huu ni ushari wa BURE ...SASA HIVI ..Kamfungilieni LEMA!!!!!!!!!!! Fanyeni deal naye ... Muelewane muondoe dhahama ..sidhani itaishii Mkoa mmoja .. NGUVU YA UTU si nguvu ya mchezo mchezo ...au waraka wa Lema haukueleweka nini ... GO AND DEEPLY read it again .. na mchukue hatua ..sereakali iko tayrarii!! FINE!! Wait and see!! UTU NA UBINADAMU ANO ONGELEA LEMA SI JAMBO LA KUFANYIA MZAHA HATA KIDOGO .. Ni NYERERE PEKE YAKE alisimamia na kusemea jambo hilo kwa dhati ya MOYO NA MATENDO ...Serekali isitake kuliamsha prematurely ... so nendeni makmfungulie Lema sasahivi ..Hamuwezi? na yeye anajua hamuwezi .. SASA SEREKALI IJIANDAEE KUUJUA UTU NA UBINADAMU KWA NJIA CHUNGU!!
 
Jamaa Wameanza kuhaha, naona zile pira za CCP zinapanda town kwa pupa... Kipindi hii wakaazime na polisi toka nchi jirani lakini wapi,...
Panya wamechafukwa ile mbaya. Zuberi tafuta Exile brother usiokotwe kwenye makalavati .
 
Kama kweli huyu jamaa kawaita wana arusha ni panya basi awajibishwe mapema. Vongozi kama hawa ndio watakaoitumbukiza Tanzania kwenye machafuko mabaya. Wakumbuke kwamba Gadafi aliwaita wanamapinduzi wa libya mamende na panya. Leo yuko wapi?
Na nani dr, dr, dr, Kikwete sana sana atampandisha cheo....
 
Walalahoi wote A-town kesho waige ile slogan ya Basigye WALK TO WORK,
tuone kama OCD Zuberi atawapeleka wote jela, maana yeye hilo kwake
litakuwa maandamano yasiyo ni kibali cha polisi!
 
hili ni wazo dogo sana lakini linaweza kuwa la kuanzia na laweza kuzaa matunda. Juzi DSM walisema wanaandamana lakini 'wabia wa Al-Shaabab' wakawazuia na nadhani kama ikianzanza Arusha hiyo kesho na Mwanza, Mbeya, Iringa wakasupport pia na Dar es Salaam(wengi hawaoni umuhimu) nao wakaitikia, inaweza kuzindua uhai wa nchi inayoonekana kuzimia!
Uwezi kuleta mabadiliko ukiwa nyuma ya keyboard na fc, jf nk. Inabidi vitendo viwepo na hivyo ni mojawapo!
Dar es salaam is a place for Zombies, expect nothing Positive from there, to them life means breathing and ass kissing, exclude the few who lives there.
 
kama kawaida kesho niko rodini kupinga udhalilishaj wangu...wazungu watuite panya hata hawa vibaraka pia...lazma nizae na porish mmoja kesho..na ole wao
 
Wito wa mgomo na maandamano ya kupinga Ukiukwaji wa Katiba, haki za Binadamu, ukatili wa police na udhalilishaji wa serikali kwa raia hapa nchini na hasa hapa Arusha. Damu ya mashujaa iliyomwagika kudai Uhuru, haki Uzalendo wa taifa iwe WINO wa kuasisi Taifa jipya.

Jasho la mateso na unyanyasaji liwe ISHARA ya utumwa wa mzawa ktk taifa lake na CHOZI la uchungu wa Umaskini, maradhi, ujinga na ufisadi liwe NISHATI ktk kuwasha taa ya HEKIMA, UJASIRI na NGUVU ya UMMA kuleta mapinduzi ya Kiraia.

KULAANI NA KUPINGA OCD-ARUSHA KUWAITA WANANCHI "PANYA".

Nawasilisha!

Imepita 100%..asante kwa maneno ya kuamsha ari
 
WANA ARUSHA, HAWA CCM WANATUMIA POLICE KUNYANYASA CHAGUO LA WANANCHI, KWA NINI UVCCM WASIKAMATWE?

PIA WANANCHI 500 WANGETOKAJE MAHAKAMANI BILA MSONGAMANO??

TUSEME SASA INATOSHA, ENOUGH IS ENOUGH. WANANCHI WA ARUSHA NA VIJANA TUAMKE NA TUPINGE HUU UONEVU.

MASABURI YAO WAPELEKE HUKO WAKAJIVUE GAMBA.


MGOMO NA MAANDAMANO NI LAZIMA, NGUVU YA UMMA ITASHINDA DAIMA

1- HAPANA HII SIO SAWA, HUU SIO WAKATI WA SIASA, NI WAKATI WA KUFANYA KAZI NA KUWALETEA WANANCHI MAENDELEO.

BILA WANANCHI KUYAONA MAENDELEO KWA MACHO NA MAISHA KUWA NAFUU BASI CCM LAZIMA HAIWEZI KUPONA.

2- HAPANA, hii haikubaliki, jinsi CCM wanavyoendelea kufanya upuuzi na wananchi tukanyamaza, mwishowe hata wake zetu watachukuliwa na sisi tusifanye kitu (ref NChemba Mwigulu 0- Igunga).

3- HAPANA- polisi wasitumike kama silaha ya CCM, mwishowe Vita ya wenyewe kwa wenyewe

4- HAPANA- dhamira ya wananchi haibadilishwi kwa vitisho.

Hello Wana Arusha sasa ndo wakati wa kuchukua hatua.

Kwanza wananchi wote wa Arusha wafahamishwe sasa hivi kwa sms. " Mtetezi wa wanyonge, mBunge wenu Lema amepelekwa Gerezani, wananchi tukatae uonevu huu, kwa habari zaidi fuatilia Ofisi ya Mbunge pale Manispaa au Viwanja vya magereza Kisongo"

Serikali imelala, shilingi imeshuka thamani, bidhaa zimekuwa adimu na zimepanda bei.

Naomba mlioko Arusha muandae maandamano yawe kesho J4 Au J5. Kama ni J5 nitakuja Arusha kwa Ndege nikitokea Dar.

Aluta Continue
 
Duh hatari kubwa kwahiyo kesho nitoke na kile kiNoah changu kazi kweli kweli.
Watakao pata hadhaa ya usafiri ni walalahoi wakubwa watapeta na miVX yao kama kawaida nadhani hili zoezi la kuandaa migomo lingeangalia nani mwathirika mkuu.

Hongereni ujumbe umefika.

Hao wakubwa watatumikiwa na nani? Ma-p/s wao watafikaje ofisini? Watumishi wengine wa kima cha chini wasio na usafiri watafikaje kazini? Wauguzi na sekta binafsi watafikaje makazini? Na kuna mengine tu hata hao wenye VX wataguswa tu.
 
Ama zao ama zetu,dhuruma hii inayofanywa na polisi na serikali ya mkoloni mweusi CCM inatosha
 
Tunisia ilianza na mmachinga, Libya walikuwa 'rats' (maneno ya Ghadafi). Tatizo hapa bongo wakubwa wameziba masikio na wanavaa mawani ya giza, na akili zao wameweka kwenye freezer.

Nasema hivyo kwa sababu wakubwa wameamua kupambana na mtu mmoja -Lema! Lakini wasilotambua ni kwamba Lema ni 'symbol' (alama) ya watanzania walio wengi, waliochoshwa na utawala mbovu.

Kumgusa Lema ni kugusa maelfu ya vijana wengi Arusha wanaobangaiza maisha. Siku wakiingia barabarani hakuna cha Zuberi au bosi wake na Zuberi. Nahofia nchi inaelekea huko. wakulaumiwa nani?

Matatizo ya kutounganisha matukio na alama za nyakati ndiyo hayo. Kuna methali moja isemayo "kusikia kwa kenge mpaka damu itoke masikioni" ikiwa na maudhui kwamba watawala walio wengi haelewi kabisa kusoma alama za nyakati ili kujua umma unataka nini. Watasitukia yanawapata ya Gadhafi, Mubarak n.k. pindi wananchi watakapofikia ukomo wa uvumilivu wao (elasticity limit). Ni tabia moja mbaya sana kwani huna na gharama kubwa.
 
Wito wa mgomo na maandamano ya kupinga Ukiukwaji wa Katiba, haki za Binadamu, ukatili wa police na udhalilishaji wa serikali kwa raia hapa nchini na hasa hapa Arusha. Damu ya mashujaa iliyomwagika kudai Uhuru, haki Uzalendo wa taifa iwe WINO wa kuasisi Taifa jipya.

Jasho la mateso na unyanyasaji liwe ISHARA ya utumwa wa mzawa ktk taifa lake na CHOZI la uchungu wa Umaskini, maradhi, ujinga na ufisadi liwe NISHATI ktk kuwasha taa ya HEKIMA, UJASIRI na NGUVU ya UMMA kuleta mapinduzi ya Kiraia.

KULAANI NA KUPINGA OCD-ARUSHA KUWAITA WANANCHI "PANYA".

Nawasilisha!

Heh nao washaanza kuitana panya tena!!
 
Back
Top Bottom