Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

Wamehukumiwa kunyongwa japo hawatanyongwa na wataachiwa kwa msamaha wa raisi
Nchi yangu Tanzania nakupenda kwa moyo wote
Mara nyingi wanaohukumiwa kunyongwa huwa Rais anawabadirishia adhabu inakua kifungo cha maisha hawaachii
 
Masheikh sita,katika hao ni yupi alilipua?yupi alipanga njama,hukumu ya hiyo kesi ikoje kwanza,hapo lazima Kuna harufu ya uonevu

Hukumu umeisoma? Kama hujaisoma kaa kimya mpaka utakapoisoma. Uwe unachungulia kwenye website inaitwa TANZLII. Hukumu nyingi huwa zinakua published huko. Nadhani itakua published hivi karibuni.
 
Mara nyingi wanaohukumiwa kunyongwa huwa Rais anawabadirishia adhabu inakua kifungo cha maisha hawaachii

Rais hana mamlaka ya kubadilisha adhabu. Wanaohukumiwa kunyongwa ni kwamba wanasubiri Rais asign tamko la kutiwa kitanzi, kitu ambacho marais wamekua wazito kukifanya. Hivyo mtu anajikuta anatumikia kifungo mpaka umauti.
 
Rais Samia hakuna kutia sahihi ya kunyonga hao watu, acha wakae gerezani ili wateseke mpaka wafe.

Kunyongwa ni kuwarahisishia maisha.
 
Thanks kwa clarifications na nimeisoma vyema,kwa kina hiyo habari.

Nini kilitokea hadi watuhimiwa washikiliwe kwa kipindi chote hiko??ingawa swali hilo wewe siyo muhusika nalo,pili why wawe watu sita ili hali taarifa inaonesha kuwa alierusha hiko kilipuzi alikuwa ni mshukiwa mmoja??hao sita wanahusika katika angle ipi??

Hizo tuhuma ni kubwa sana why zisiwe na majibu kwa miaka yote hiyo??why haki icheleshwe kupatikana kwa kias hiko na kuna watu wasio na hatia wameuawa??

Mbaya zaidi kichwa cha habari kinasema ni masheikh,implication yake ni kuwa hao ni viongozi wa dini ya kiislam,wanajaribu kucreate kitu gani??
1. Hizo WHY zako, kama ulivyotanabaisha, kwamba mimi siyo muhusika..!!

2. Hizo WHY zako, haziondoi ukweli kwamba watu wameuwawa kwa vilipuzi

3. Hizo WHY zako, haziondoi ukweli kwamba kurusha kilipuzi ni hatua ya mwisho, hatua za mwanzo huwa kuna ushirikiano wa watu wengi

4. Hizo WHY zako, haziondoi ukweli kuwa miaka hiyo kumi imesababishwa na waliowashikilia.

5. Hizo WHY zako, haziondoi ukweli kuwa walioshitaki si kanisa.

6. Hizo WHY zako, haziondoi ukweli kuwa kucheleweshwa kupatikana kwa haki, hakuondoi au hakupaswi kunyima haki ya mtu.
 
Kwa maelezo hayo uliyoyatoa kuhukumiwa kunyongwa mpaka kufa ni uwonevu. Hakimu atakuwa ametoa hukumu kwa chuki zake za kidini kwasababu ktk maelezo uliyoyatoa, hakuna mtu hata mmoja aliyekufa wakati wa kulipia hilo kanisa na hii inaonyeaha kwamba walipuaji walihakikisha hakuna mtu ndani ya kanisa wakati wa ulipuaji

Walisitaili kupata kifungo kilefu kwa uharibifu wa mali lakini sio kunyongwa mpaka kufa
Unaposema hakimu kahukumu kwa chuki za kidini,unajua aliyetoa hukumu ni wa dini gani ? Unasema walihakikisha hakuna watu ndipo wakalipua hao waliojeruhiwa walikua wapi ? Inaonekana wewe ndiye unatetea kwa misingi ya dini.
 
anawabadirishia adhabu inakua kifungo cha maisha hawaachii
Wrong...

huwa wanaachiwa wengi tu. Fuatilia wakati wa misamaha, wako Youtube wengi tu wanahojiwa, wanasema walihukumiwa kifo in the 70s and 80s Nyerere na Mwinyi waka commute their death sentences to life. Wanatumikia life sentence mwishowe wanaachiwa mazima.

KInachoudhi ni kwamba waandishi uchwara wa Youtube TV wanaowahoji siku zote wana sympathize nao bila kutupa the other side of the story ya unyama wao. Haiwezekani death row convicts wote wakawa walibambikwa kesi.
 
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

MASHEIKH SITA 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA ARUSHA LEO

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 12/12/2023, imewasomea hukumu Masheikh tisa miongoni mwa wale wanaoshikiliwa na Serikali kwa zaidi ya miaka kumi katika Gereza Kuu la Kisonge Mkoani Arusha.

Masheikh hao wanatuhumiwa na Serikali kwa Ugaidi wa kulipua Kanisa Katoliki la Ole sita mkoani Arusha mwaka 2013.

Akisoma hukumu hiyo Jaji Nkwabi aliwaachia huru Masheikh watatu ingawa mmoja miongoni mwao amerejeshwa jela kwa sababu ya kukabiliwa na tuhuma nyingine.

Walioachiwa huru ni: Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani).

Aidha Jaji Nkwabi alionesha kuridhishwa na ushahidi wa Polisi kwamba Masheikh sita katika shauri hilo akiwemo imamu mkuu wa Msikiti mashuhuri Masjid Quba Arusha, Sheikh Jaafar Hashim Lema waliripua Kanisa Katoliki na kusababisha madhara makubwa.

Kwa sababu hiyo Jaji Nkwabi aliamua kuwahukumu adhabu kali ya kunyongwa mpaka kufa.

Masheikh hao waliokaa gerezani kwa zaidi ya miaka kumi na hatimaye kuhukumiwa kifo ni:

1. Imam Jaafar Hashima Lema.
2. Yusuf Ali Huta
3. Ramadhani Hamadi Waziri.
4. Abdul Hassa Masta.
5. Kassim Idrisa. Na-
6. Abashari Hassan Omari.

Masheikh hao pamoja na wenzao kumi walio hukumiwa kunyongwa hivi karibuni mkoani Tanga, watanyongwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassani kutia saini.

Pia, soma;

Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Serikali Isilale tu, hao walio achiwa wawe chini ya uangalizi kwa angalau miaka 20, kila wanachofanya na mawasiliano nayo , si ya simu tu bali hata watu wanao wasiliana nao.
Walirusha bomu Kanisani Olasiti, wakafurahia vifo vya watanzania wenzao kisa tu ina msimamo wa kiimani, hii haikubaliki:
Magaidi wa HAMAS walianza hivi, hawa Mashehe wachunguzwe kuanzai watot, wake na ndugu zao.
Hili jambo si la kidini bali ni jambo la Kitaifa.
 
Let say that it's true kuwa hao ni masheikh wamelipua,swali kwako Kafiri wewe ni kuwa wamekuambia kuwa uislam ndiyo umewatuma wafanye tukio Hilo??

Tukio Lina zaidi ya miaka kumi,kama ni kweli walikuwa na uhakika kuwa wafanyaji wa tukio Hilo ni hao na waliwashikilia zaidi ya miaka kumi yote iyo,nini kiliwafanya wakose ushahidi kipindi chote Hiko?

Maovu mengi yanafanywa na watu wa Iman zingine,ikiwemo ya kwenu,ndiyo kusema hiyo Iman yenu ndiyo inawatuma?
KWAKO WEWE MTAKATIFU,
UMEWAHI SIA MISIKITI IKICHOMWA MOTO NA WATU KWA HIARI YAO AU KUTUMWA NA IMANI YAO?
SISI UKISEMA YESU SIO MUNGU, MUNGU SIO YESU, YESU KAFIRI, HATA UKICHANA BIBLIA WALA SIO KESI, HAYO NI MATATIZO YAKO.
LAKINI IKIFANYIKA KINYUME NI MWENDO WA HEKA HEKA, MATAMKO NA DUA ZA KIFO, MAANDAMANO, MATUSI , NAJUA UNAJUA ZAIDI.
 
Wrong, huwa wanaachiwa wengi tu. Fuatilia wakati wa misamaha ya wafungwa, wako Youtube wengi tu wanahojiwa, wanasema walihukumiwa kifo in the 70s and 80s Nyerere na Mwinyi wala commute their death sentences to life sentence. Wanakaa kwenye kifungo cha maisha mwishowe wanaachiwa mazima.

KInachoudhi ni kwamba waandishi uchwara wanaowahoji siku zote wana sympathize nao bila kutupa the other side of the story ya unyama wao. Haiwezekani death row convicts wote wakawa walibambikwa kesi.
Wanapendwa kuonewa huruma.
Ni sawa na Al Jazeera inaonyesha tu watoto wamepigwa mabomu au wapalestina wenye mawe wameuawa ila hawaonyeshi picha za Magaidi wa kiislamu wakiua waisraeli , kubaka, kukata uume zao na kuwafi**
 
Wasamehewe.
Kama walilipua kanisa na hakuna mtu aliyefariki hiyo ni hukumu ya Allah.

Waachie, miaka kumi wako kifungoni imetosha.

Yaani Rais amesaini hicho kitu?

Wale Waheshimiwa wawasaidie kukata rufaa.
Vipi kuhusu haki ya hao waliouwawa na familia zao
 
Kwa maelezo hayo uliyoyatoa kuhukumiwa kunyongwa mpaka kufa ni uwonevu. Hakimu atakuwa ametoa hukumu kwa chuki zake za kidini kwasababu ktk maelezo uliyoyatoa, hakuna mtu hata mmoja aliyekufa wakati wa kulipia hilo kanisa na hii inaonyeaha kwamba walipuaji walihakikisha hakuna mtu ndani ya kanisa wakati wa ulipuaji

Walisitaili kupata kifungo kilefu kwa uharibifu wa mali lakini sio kunyongwa mpaka kufa

Tuweke hisia pembeni. Sheria inasemaje? Umesoma The Prevention Of Terrorism Act, 2002? Vipi Penal Code? Sheria zinasemaje juu ya makosa ya ugaidi?
 
1. Hizo WHY zako, kama ulivyotanabaisha, kwamba mimi siyo muhusika..!!

2. Hizo WHY zako, haziondoi ukweli kwamba watu wameuwawa kwa vilipuzi

3. Hizo WHY zako, haziondoi ukweli kwamba kurusha kilipuzi ni hatua ya mwisho, hatua za mwanzo huwa kuna ushirikiano wa watu wengi

4. Hizo WHY zako, haziondoi ukweli kuwa miaka hiyo kumi imesababishwa na waliowashikilia.

5. Hizo WHY zako, haziondoi ukweli kuwa walioshitaki si kanisa.

6. Hizo WHY zako, haziondoi ukweli kuwa kucheleweshwa kupatikana kwa haki, hakuondoi au hakupaswi kunyima haki ya mtu.
6.Justice delayed is justice denied.
 
Back
Top Bottom