Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,102
- 2,717
Nimepita pale mahakamani jana nikamuona yule mama Analia,nikauliza,"Huyu analia nini?". Najua jambo kama lile siyo ajabu, lakini bado nikauliza,"Huyu analia nini?" Nikaambiwa,unajua, hii ni mahakama na yule mama ukimuona analia, basi, labda itakuwa mtoto wake amehukumiwa kifungo.
Wakamwambia yule mama unaweza kwenda ndani ukawaone kabla hawajaondolewa, lakini ukifika kule usilie.
Halafu mtu mmoja akasema, hapana, hawezi kwenda, yule askari hujamuona anafukuza watu?
Hii hukumu, unasema watu wachache wameuawa,na wachache tena,wamejeruhiwa. Haya mambo ya Kanisa kushambuliwa au Msikiti kuchomwa moto,haya mambo viongozi wa dini wanaweza kukutana, wakajadili.
Dini yetu ni moja, Abrahamic Faith.
Kuna sababu gani ya kuwafunga Masheikh ambao wameshakaa miaka kumi jela?
Kuhusu hukumu ya masheikh soma > Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo
Wakamwambia yule mama unaweza kwenda ndani ukawaone kabla hawajaondolewa, lakini ukifika kule usilie.
Halafu mtu mmoja akasema, hapana, hawezi kwenda, yule askari hujamuona anafukuza watu?
Hii hukumu, unasema watu wachache wameuawa,na wachache tena,wamejeruhiwa. Haya mambo ya Kanisa kushambuliwa au Msikiti kuchomwa moto,haya mambo viongozi wa dini wanaweza kukutana, wakajadili.
Dini yetu ni moja, Abrahamic Faith.
Kuna sababu gani ya kuwafunga Masheikh ambao wameshakaa miaka kumi jela?
Kuhusu hukumu ya masheikh soma > Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo