Arusha: Madiwani waliojiuzulu watapeliwa

Arusha: Madiwani waliojiuzulu watapeliwa

Bora wametapeliwa. mwenyezi Mungu hujibu maombi. Lakini huwa najiuliza hivi hawo wasaliti wakiamua kushika bunduki, DC na Mkurugenzi wake watabaki salama kweli?
 
Kumbe chanzo ni "mwanahalisi"
huwa siwaamini kabisa hao, tokea walivyotoa taarifa ya kupotea kwa Ben saa 8 eti yupo kwa marafiki zake...
 
Alafu huyo wa Maroroni ni mshikaji wangu ila alivyojiuzulu alinikera sana,kijana mdogo alafu mwenye degree ila anashawishika na mambo ya ovyo sana.

Naipenda JF
Unajua huu usomi ni nyongeza tu , malezi ni tatizo kubwa sana .
 
Imebainika kwamba waliokuwa madiwani wa Chadema waliohama chama wilayani Meru na kujiuzulu , walipewa ahadi nono lakini hawajalipwa mpaka sasa ( wamepigwa puu ).

Uchunguzi umebaini kwamba madiwani hao waliahidiwa kila mmoja kitita cha hela za madafu milioni 30 , kwa ushawishi wa DC Alexander Mnyeti na Mkurugenzi wake Christopher Kazer.

Madiwani hao ni Anderson Sikawa ( Leguruki ) , Emmanuel Mollel ( Makiba ) , Greyson Isangya ( Maroroni ) , Josephine Mshiu ( viti maalum ) na Credo Kifukwe ( Muriet )

Chanzo - MwanaHalisi .

Mytake , Usaliti ni laana mbaya sana , hela ambayo napata dukani kwangu Kariakoo kwa muda wa wiki moja inamdhalilisha diwani aliyechaguliwa na maelfu ya wananchi !

Ni aibu ya milele .
Inaonyesha hao madiwani from day one ni njaaa ndo iliyowapeleka ktk siasa! Mwanamapinduzi wa kweli yupo tayari kufa kwa kutetea falsafa anayoiamini! Sasa kama wao jana walikuwa wanaamini ktk falsafa na itikadi za Chadema,Anakuja mtu na mlungula anasiliti Chadema maana ake ata huko walipomwambia aje baada ya kuhaidiwa pesa afai na sio mwana mapinduzi ni mchumia tumbo.Pole zao maana hiyo ndo hali halisi ,CHADEMA wawapotezee tu hao wajaa njaa na tamaa
 
Kwa nini wasingevumilia maka miaka mitano iishe. Mhe.Diwani anapata Tshs.250,000 kwa mwezi,posho za vikao,ziara nk.Mbona ni hela nzuri?.
 
Imebainika kwamba waliokuwa madiwani wa Chadema waliohama chama wilayani Meru na kujiuzulu , walipewa ahadi nono lakini hawajalipwa mpaka sasa ( wamepigwa puu ).

Uchunguzi umebaini kwamba madiwani hao waliahidiwa kila mmoja kitita cha hela za madafu milioni 30 , kwa ushawishi wa DC Alexander Mnyeti na Mkurugenzi wake Christopher Kazer.

Madiwani hao ni Anderson Sikawa ( Leguruki ) , Emmanuel Mollel ( Makiba ) , Greyson Isangya ( Maroroni ) , Josephine Mshiu ( viti maalum ) na Credo Kifukwe ( Muriet )

Chanzo - MwanaHalisi .

Mytake , Usaliti ni laana mbaya sana , hela ambayo napata dukani kwangu Kariakoo kwa muda wa wiki moja inamdhalilisha diwani aliyechaguliwa na maelfu ya wananchi !

Ni aibu ya milele .
Watarudi tena CHADEMA [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madiwani hao ni wapumbavu sana, wamechuma mshahara wa usaliti!!! Nilijiuliza unajiudhuru ili ummunge mkono JPM!!!! Mbona haiwezekani!!!! Ukijiuzulu unakuwa raia!!! Sasa utawezaje kumuunga mkono Rais wakati huna nafasi tena ya kufanya maamuzi katika jamii!!! Mbwa kabisa hawa madiwani!!!! Mara mia wangebaki Na udiwani wao huku wakitekeleza shughuli Za maendeleo Kwa kuwahimiza wananchi kuliko upuuzi huu walioufanya!!!! Nahisi hivi sasa wanajuta.. Wapuuzi kabisa hawa jamaa.
 
Imebainika kwamba waliokuwa madiwani wa Chadema waliohama chama wilayani Meru na kujiuzulu , walipewa ahadi nono lakini hawajalipwa mpaka sasa ( wamepigwa puu ).

Uchunguzi umebaini kwamba madiwani hao waliahidiwa kila mmoja kitita cha hela za madafu milioni 30 , kwa ushawishi wa DC Alexander Mnyeti na Mkurugenzi wake Christopher Kazer.

Madiwani hao ni Anderson Sikawa ( Leguruki ) , Emmanuel Mollel ( Makiba ) , Greyson Isangya ( Maroroni ) , Josephine Mshiu ( viti maalum ) na Credo Kifukwe ( Muriet )

Chanzo - MwanaHalisi .

Mytake , Usaliti ni laana mbaya sana , hela ambayo napata dukani kwangu Kariakoo kwa muda wa wiki moja inamdhalilisha diwani aliyechaguliwa na maelfu ya wananchi !

Ni aibu ya milele .
Hata huyo mbunge wa jimbo hilo haeleweki siku hizi ,huwezi,saliti ukabaki salama

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom