Arusha: Madiwani waliojiuzulu watapeliwa

Arusha: Madiwani waliojiuzulu watapeliwa

Imebainika kwamba waliokuwa madiwani wa Chadema waliohama chama wilayani Meru na kujiuzulu , walipewa ahadi nono lakini hawajalipwa mpaka sasa ( wamepigwa puu ).

Uchunguzi umebaini kwamba madiwani hao waliahidiwa kila mmoja kitita cha hela za madafu milioni 30 , kwa ushawishi wa DC Alexander Mnyeti na Mkurugenzi wake Christopher Kazer.

Madiwani hao ni Anderson Sikawa ( Leguruki ) , Emmanuel Mollel ( Makiba ) , Greyson Isangya ( Maroroni ) , Josephine Mshiu ( viti maalum ) na Credo Kifukwe ( Muriet )

Chanzo - MwanaHalisi .

Mytake , Usaliti ni laana mbaya sana , hela ambayo napata dukani kwangu Kariakoo kwa muda wa wiki moja inamdhalilisha diwani aliyechaguliwa na maelfu ya wananchi !

Ni aibu ya milele .
Wakaombe ushauri wa Prof. Lipumba namna ya kutengua maamuzi yao ya awali
 
Imebainika kwamba waliokuwa madiwani wa Chadema waliohama chama wilayani Meru na kujiuzulu , walipewa ahadi nono lakini hawajalipwa mpaka sasa ( wamepigwa puu ).

Uchunguzi umebaini kwamba madiwani hao waliahidiwa kila mmoja kitita cha hela za madafu milioni 30 , kwa ushawishi wa DC Alexander Mnyeti na Mkurugenzi wake Christopher Kazer.

Madiwani hao ni Anderson Sikawa ( Leguruki ) , Emmanuel Mollel ( Makiba ) , Greyson Isangya ( Maroroni ) , Josephine Mshiu ( viti maalum ) na Credo Kifukwe ( Muriet )

Chanzo - MwanaHalisi .

Mytake , Usaliti ni laana mbaya sana , hela ambayo napata dukani kwangu Kariakoo kwa muda wa wiki moja inamdhalilisha diwani aliyechaguliwa na maelfu ya wananchi !

Ni aibu ya milele .
kwahiyo wamepigwa miti bila kulipwa kisha wametorokwa lodge teh...teh..teh..
 
Mi nimewasikiliza hawa madiwani kipindi kile wakihojiwa baada ya kuachia ngazi. Nasikitika kusema walikua wanatia aibu kwa jinsi wanavyoshindwa kujibu maswali ya kawaida ya kwanini wameachia nafasi zao.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ALIYEUZA CHENI KAUZA CHENI ORIGINAL ILA ALIYEUZIWA CHENI KATOA HELA BANDIA

HII SIYO NGOMA DRAW

HAO MADIWANI WAMEINGIA CHA KIKE
 
Hakuna mwanasiasa yoyote Tanzania, nafikiri Afrika anaweza kujiuzulu nafasi yake ya uongozi kwasababu ya kumuunga mkono mtu yoyote yule bila malipo,
Kama kuna mtu ana akili zake timamu anaamini madiwani wa Arusha wamejiuzulu nafas zao za uongozi bure tu basi akapimwe mkojo na choo kabisa, waganga njaa wale wanaupata wapi ujasiri wa kujiuzulu eti kumuunga mkono Rais, je wakiwa Chadema huo mkono hauungiki? Mbona wale wafuasi wa Zitto wameficha aibu yao?. Msichokijua ni kwamba mwenezi kagomewa kupewa malipo yao na chama, wamemwambia mbona mwenzako Nape alikuwa akiwaleta kwa hela ndogo sana tena wengine wenye hadhi ya wabunge sasa wewe umetuletea madiwani tuwalipe mzigo wote huo? Mfano wale MIFUGO waliokatwa mikia waliporudi zizini/ccm, wamerudi bure na waliambulia hela ya guest kipindi cha mkutano mkuu tu na ndio maana mfugo mmoja unahangaika humu kuimba mapambio kwa Rais ukisubiria uteuzi. Ndio maana mwenezi kagoma kumjibu LISU kuhusu bombadier zetu akilalamika kuwa wananisumbua mpaka mvuta bangi wa Geita kajitokeza kujibu.
 
Pole pole kawaambia Lumumba wenzie kuwa diwani mmoja dhamani yale mil 30. Wenzake wameshituka kuwa anataka kuwazunguka awape kisha na yy apate cha juu wakati chama kwa sasa hakina pesa.

Masikini Pole pole bora ungeendelea na ukuu wa Wilaya. Kile cheo ulichotaka kifutwe kwenye katiba mpya
 
Dah hao wamekomeshwa wanapaswa kufa walipata udiwani baada ya wananchi kumwagiwa pilipili
 
Labda inasubiriwa kauli kutoka juu ndo wapewe mshiko,lakini hawa jamaa ni kama waongo maana kuna diwani mmoja wa CDM alijaribiwa kutaka kununuliwa jamaa akawa ameshituka mapema ndo akaanza kuwarekodi,ushahidi wa sauti huyo diwani wa CCM akimpiga sound upo,sasa nashindwa kwa nini huyu jamaa asiburuzwe mahakamani kwa kushawishi kiongozi ajiuzuru ili tu alipwe pesa nyingi na cheo kinono alichokuwa akimuahidi?.
 
Imebainika kwamba waliokuwa madiwani wa Chadema waliohama chama wilayani Meru na kujiuzulu , walipewa ahadi nono lakini hawajalipwa mpaka sasa ( wamepigwa puu ).

Uchunguzi umebaini kwamba madiwani hao waliahidiwa kila mmoja kitita cha hela za madafu milioni 30 , kwa ushawishi wa DC Alexander Mnyeti na Mkurugenzi wake Christopher Kazer.

Madiwani hao ni Anderson Sikawa ( Leguruki ) , Emmanuel Mollel ( Makiba ) , Greyson Isangya ( Maroroni ) , Josephine Mshiu ( viti maalum ) na Credo Kifukwe ( Muriet )

Chanzo - MwanaHalisi .

Mytake , Usaliti ni laana mbaya sana , hela ambayo napata dukani kwangu Kariakoo kwa muda wa wiki moja inamdhalilisha diwani aliyechaguliwa na maelfu ya wananchi !

Ni aibu ya milele .
Taarifa kubwa hapa ni pesa ya wiki moja kariakoo ni mil.30. Hongera mkuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mwanasiasa yoyote Tanzania, nafikiri Afrika anaweza kujiuzulu nafasi yake ya uongozi kwasababu ya kumuunga mkono mtu yoyote yule bila malipo,
Kama kuna mtu ana akili zake timamu anaamini madiwani wa Arusha wamejiuzulu nafas zao za uongozi bure tu basi akapimwe mkojo na choo kabisa, waganga njaa wale wanaupata wapi ujasiri wa kujiuzulu eti kumuunga mkono Rais, je wakiwa Chadema huo mkono hauungiki? Mbona wale wafuasi wa Zitto wameficha aibu yao?. Msichokijua ni kwamba mwenezi kagomewa kupewa malipo yao na chama, wamemwambia mbona mwenzako Nape alikuwa akiwaleta kwa hela ndogo sana tena wengine wenye hadhi ya wabunge sasa wewe umetuletea madiwani tuwalipe mzigo wote huo? Mfano wale MIFUGO waliokatwa mikia waliporudi zizini/ccm, wamerudi bure na waliambulia hela ya guest kipindi cha mkutano mkuu tu na ndio maana mfugo mmoja unahangaika humu kuimba mapambio kwa Rais ukisubiria uteuzi. Ndio maana mwenezi kagoma kumjibu LISU kuhusu bombadier zetu akilalamika kuwa wananisumbua mpaka mvuta bangi wa Geita kajitokeza kujibu.
unasomeka vyema great thinker,watambuzi tunatambua vyema kinachoendelea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom