Arusha: Madiwani waliojiuzulu watapeliwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,638
218,081
Imebainika kwamba waliokuwa madiwani wa CHADEMA waliohama chama wilayani Meru na kujiuzulu, walipewa ahadi nono lakini hawajalipwa mpaka sasa (wamepigwa puu).

Uchunguzi umebaini kwamba madiwani hao waliahidiwa kila mmoja kitita cha hela za madafu milioni 30, kwa ushawishi wa DC Alexander Mnyeti na Mkurugenzi wake Christopher Kazer.

Madiwani hao ni Anderson Sikawa (Leguruki), Emmanuel Mollel (Makiba) , Greyson Isangya (Maroroni), Josephine Mshiu (viti maalum) na Credo Kifukwe ( Muriet)

Chanzo - MwanaHalisi.

Mytake , Usaliti ni laana mbaya sana, hela ambayo napata dukani kwangu Kariakoo kwa muda wa wiki moja inamdhalilisha diwani aliyechaguliwa na maelfu ya wananchi.

Ni aibu ya milele.
 
Imebainika kwamba waliokuwa madiwani wa Chadema waliohama chama wilayani Meru na kujiuzulu , walipewa ahadi nono lakini hawajalipwa mpaka sasa ( wamepigwa puu ).

Uchunguzi umebaini kwamba madiwani hao waliahidiwa kila mmoja kitita cha hela za madafu milioni 30 , kwa ushawishi wa DC Alexander Mnyeti na Mkurugenzi wake Christopher Kazer.

Madiwani hao ni Anderson Sikawa ( Leguruki ) , Emmanuel Mollel ( Makiba ) , Greyson Isangya ( Maroroni ) , Josephine Mshiu ( viti maalum ) na Credo Kifukwe ( Muriet )

Chanzo - MwanaHalisi .
Good News
 
Imebainika kwamba waliokuwa madiwani wa Chadema waliohama chama wilayani Meru na kujiuzulu , walipewa ahadi nono lakini hawajalipwa mpaka sasa ( wamepigwa puu ).

Uchunguzi umebaini kwamba madiwani hao waliahidiwa kila mmoja kitita cha hela za madafu milioni 30 , kwa ushawishi wa DC Alexander Mnyeti na Mkurugenzi wake Christopher Kazer.

Madiwani hao ni Anderson Sikawa ( Leguruki ) , Emmanuel Mollel ( Makiba ) , Greyson Isangya ( Maroroni ) , Josephine Mshiu ( viti maalum ) na Credo Kifukwe ( Muriet )

Chanzo - MwanaHalisi .

Mytake , Usaliti ni laana mbaya sana , hela ambayo napata dukani kwangu Kariakoo kwa muda wa wiki moja inamdhalilisha diwani aliyechaguliwa na maelfu ya wananchi !

Ni aibu ya milele .
Ni uthibitisho tu kuwa hawakuhongwa! Mengineyo ni blah blah...
 
Imebainika kwamba waliokuwa madiwani wa Chadema waliohama chama wilayani Meru na kujiuzulu , walipewa ahadi nono lakini hawajalipwa mpaka sasa ( wamepigwa puu ).

Uchunguzi umebaini kwamba madiwani hao waliahidiwa kila mmoja kitita cha hela za madafu milioni 30 , kwa ushawishi wa DC Alexander Mnyeti na Mkurugenzi wake Christopher Kazer.

Madiwani hao ni Anderson Sikawa ( Leguruki ) , Emmanuel Mollel ( Makiba ) , Greyson Isangya ( Maroroni ) , Josephine Mshiu ( viti maalum ) na Credo Kifukwe ( Muriet )

Chanzo - MwanaHalisi .

Mytake , Usaliti ni laana mbaya sana , hela ambayo napata dukani kwangu Kariakoo kwa muda wa wiki moja inamdhalilisha diwani aliyechaguliwa na maelfu ya wananchi !

Ni aibu ya milele .
Unapata 30,000,000/kwa wiki!!!!!!!!ngoja ufuatiliwe kama kodi unalipaa Kwa halali kulingana na mapato halisi ya biashara yako kama ulivyoyataja hapo juu.
 
Imebainika kwamba waliokuwa madiwani wa Chadema waliohama chama wilayani Meru na kujiuzulu , walipewa ahadi nono lakini hawajalipwa mpaka sasa ( wamepigwa puu ).

Uchunguzi umebaini kwamba madiwani hao waliahidiwa kila mmoja kitita cha hela za madafu milioni 30 , kwa ushawishi wa DC Alexander Mnyeti na Mkurugenzi wake Christopher Kazer.

Madiwani hao ni Anderson Sikawa ( Leguruki ) , Emmanuel Mollel ( Makiba ) , Greyson Isangya ( Maroroni ) , Josephine Mshiu ( viti maalum ) na Credo Kifukwe ( Muriet )

Chanzo - MwanaHalisi .

Mytake , Usaliti ni laana mbaya sana , hela ambayo napata dukani kwangu Kariakoo kwa muda wa wiki moja inamdhalilisha diwani aliyechaguliwa na maelfu ya wananchi !

Ni aibu ya milele .
Wewe ni mmoja kati ya waliotapeliwa au waliotapeli??!! Maana kujua hiyo sili mpk uwe mshirika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom