Bepari
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 904
- 330
Thibitisha!Kuhongwa sio lazima Cash tu, hata ahadi pia zinahusika
Thibitisha!Kuhongwa sio lazima Cash tu, hata ahadi pia zinahusika
Lkn pia mwana halisi liliwahi kulipoti kuwa lowassa ni fisadi.kipindi cha kuelekea kura za maoni ccm.likaripoti tena kuwa LOWASSA NI DHAIFU HAFAI KUWA RAIS WA TANZANIA.Vp unalichukuliaje hilo gazeti?MwanaHalisi pia limeripoti kwa urefu kuhusu Bombadier inayosubiri kupigwa mnada wiki ijayo , hiyo nayo tunajitekenya ?
Thibitisha wewe kwamba sio hivyo nilivyosema mimiThibitisha!
Kwani ajabu gani? ulipaswa umuulize jee hiyo ni Net au gross profit?Unapata 30,000,000/kwa wiki!!!!!!!!ngoja ufuatiliwe kama kodi unalipaa Kwa halali kulingana na mapato halisi ya biashara yako kama ulivyoyataja hapo juu.
Hahahaa! Kuropoka uropoke wewe halafu mimi nithibitishe! Chadema buana...Thibitisha wewe kwamba sio hivyo nilivyosema mimi
Kupinga upinge wewe halafu mimi nithibitishe, Buku7 banaHahahaa! Kuropoka uropoke wewe halafu mimi nithibitishe! Chadema buana...
30M kununua udiwani?Imebainika kwamba waliokuwa madiwani wa Chadema waliohama chama wilayani Meru na kujiuzulu , walipewa ahadi nono lakini hawajalipwa mpaka sasa ( wamepigwa puu ).
Uchunguzi umebaini kwamba madiwani hao waliahidiwa kila mmoja kitita cha hela za madafu milioni 30 , kwa ushawishi wa DC Alexander Mnyeti na Mkurugenzi wake Christopher Kazer.
Madiwani hao ni Anderson Sikawa ( Leguruki ) , Emmanuel Mollel ( Makiba ) , Greyson Isangya ( Maroroni ) , Josephine Mshiu ( viti maalum ) na Credo Kifukwe ( Muriet )
Chanzo - MwanaHalisi .
Mytake , Usaliti ni laana mbaya sana , hela ambayo napata dukani kwangu Kariakoo kwa muda wa wiki moja inamdhalilisha diwani aliyechaguliwa na maelfu ya wananchi !
Ni aibu ya milele .
Hiyo anaweza Lipumba tu .Halafu haiwezekani ku reverse ! Ha ha ha ! Warudi kwa chama waseme wameahirisha kujiuzulu !!!
Sent using Jamii Forums mobile app