Upo Arusha? Umesharudi?Kikosi cha Dullah kinaingia mzigoni muda si mrefu.
Nawahurumia akina mama watakavyofyatuliwa.
Wacha mie niendelee kujificha uvunguni, naogopa sana.
Aione Kaka angu: UCD
Upo Arusha? Umesharudi?Kikosi cha Dullah kinaingia mzigoni muda si mrefu.
Nawahurumia akina mama watakavyofyatuliwa.
Wacha mie niendelee kujificha uvunguni, naogopa sana.
Aione Kaka angu: UCD
👇🏾...
Freemason is real
Niendelee kutoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki waliopotezwa kwa kuuliwa kupitia askali waajiliwa wa government yetu.>>>>>>>>>>>>>>><<<<<<<<<<<<<<<<
Utaliwa wewe kwanza.Mkuu huyu Mwashambwa mi nikimdaka nakula mpaka mkund..u ... Huyo mwamba anakera sana
Kama ni uongo , nenda sasahivi Hospitali ya Tengeru, Nkoanrua na Mt.MeruStory tu hizo, hakuna picha hata moja,si IG si humu
"Watu walio tayari kuua wapo. Ndiyo wanaitwa wasiojulikana. Kinachokosekana ni watu walio tayari kufa. Siku wakipatikana walio tayari kufa basi taifa letu litaingia katika matatizo makubwa"vijana wana hamu ya kufa kupitiliza
hatujui wamejipanga vpvijana wana hamu ya kufa kupitiliza
wanajivunia silaha tu , wakiendelea hvvyo , wapi watz abroad watatafuta kuwapa vijanaKikosi cha Dullah kinaingia mzigoni muda si mrefu.
Nawahurumia akina mama watakavyofyatuliwa.
Wacha mie niendelee kujificha uvunguni, naogopa sana.
Aione Kaka angu: UCD
We upo wapi? Seela kwa kuriii?Kama ni uongo , nenda sasahivi Hospitali ya Tengeru, Nkoanrua na Mt.Meru
Nenda muda huu kama upo karibu
Kwani wakiwapatia miili Yao wakazike au wakiwaambia ilikopelekwa watapokonywa madaraka?
Dah Tanzania ndio nchi yetu hatuna pengine pa kupaita nyumbani, wao wana pesa za kwenda popote Mambo yakiharibika Sisi maskini hatuna uhakika hata wa ugali wa kesho. Naomba watawala watuzingatie
hatujui wamejipanga vp
😂😂😂Raia wa nchi jirani wanazidi kumiminika 😂😂
Simu zipoNa kote huko upo!
Wanajua walikoipeleka.Ingekuepo wangepewa