Tetesi: Arusha: Maandamano yaanza upya Leo

Tetesi: Arusha: Maandamano yaanza upya Leo

Nawaamini sana watu wa huko Arusha, hampoi katika jambo lenu. Big up sana wana wa Arusha. Mpaka kieleweke Mwanza, Geita, Mbeya, Tunduma, Dar es Salaam, Zanzibar, Lindi, Mtwara, Bukoba

Chali wangu wa Chuga tupia haraka video mjongeo / picha kabla hawajazima intaneti
Zanzibar wanafurahia kurudi tena usukani Samuya,
Maana anafanya double standard ya maendeleo kwenye utawala wake huu
 
Back
Top Bottom