Tetesi: Arusha: Maandamano yaanza upya Leo

Tetesi: Arusha: Maandamano yaanza upya Leo

Bila maandamano yasiyokuwa na kikomo, genge hili haramu liloteka nyara nchi haliwezi kuachia ngazi.

Madagascar hawakuchoka na maandamano endelevu kama wenzetu wa Kenya, tumeona walikaza kule Madagascar hadi Andry Nirina Rajoelina rais wa Madagascar akakimbilia kwa wajomba zake.
 
Hali sio hali Kwa Sasa Maandamano yameanza upya Morombo,ngaramtoni na arumeru.

Ntaleta update ya kinachoendelea
Wanaenda na muda
Maandamano sio kupanga au kusubiri sijui Tisa December.
Watawala wameanza kurelax kama life ni normal
Nchimbi anasema nchi ni shwari wameona tumelegea tayari
Majangili yamesharudi Zenj Ni kuendeleza mapambano maandamanoooooooo ndio jibu
 
Back
Top Bottom