Tetesi: Arusha: Maandamano yaanza upya Leo

Tetesi: Arusha: Maandamano yaanza upya Leo

lakini si kwa kukitafuta mwenyewe kifo
Usiache kudai haki yako kwa kuogopa kufa. Kufa ni wajibu usiokwepeka. Usipokufa kwa risasi, utakufa kwa ajali. Usipokufa kwa ajali, utakufa kwa ugonjwa (hata unaotibika). No matter what, when it’s time to die, you surely will die. We die only once!

So just go ahead and fight for your right!
 
Hali sio hali Kwa Sasa Maandamano yameanza upya Morombo, Ngaramtoni na arumeru.

Ntaleta update ya kinachoendelea.

Baadhi ya maeneo yenye vurugu wananchi wapewa amri ya kutoka kutoka nje .
Madai ya wananchi ni kuhusiana na kupewa miili ya ndugu zao ambayo haijulikani ilipo Hadi Sasa.

Sirikali ya Idd Amin Mama imefanya jambo la ajabu la kuua watu ovyo.

Nawaambia tu ukweli ,watu waende makaburi ya Bahari Beach Kondo aiseee wamezika miili takribani 300 kwa pamoja ,vyombo vya uchunguzi viende pale vitaona ,hawa jamaa hawakwepi ICC.
 
Sijajua Kwa kesho jumatatu hali itakavyokuwa
Hali si nzuri sana huku wakuu kuna mida niliona magari ya Askari yanapishana na milio fulani ya silaha za moto, kwa navyosikia kesho kuingia mjini ni kamzozo...
 
Back
Top Bottom