Katika utafiti wangu mdogo nilioufanya hapa Arusha,Nimegundua kuwa wakazi wengi wa eneo la Boondeni hawaipendi CHADEMA,pale ni ngome ya CCM sasa sielewi nini CHADEMA imewafanya au CCM imewafanyia mpaka wawe na mapenzi na imani kwa CCM kiasi hicho.
Nawasilisha Mada.
Nawasilisha Mada.