Arusha Jiji amkeni

uzuri mgombea hapitishwi na kura anapitishwa na mwenyekiti
 
Huku kigamboni tulimkata amekimbilia chuga
 
Unataka wafanye nini na uchaguzi ni BANDIA!?

Ikitokea Makonda au yeyote chama kitachoamua awe Mbunge Arusha mjini ndio huyohuyo! Watafanyaje!!

Upinzani umekataliwa, Ccm haitaki uchaguzi tena!! Hakuna mwananchi atakayechagua kiongozi nchi nzima hii! Viongozi wote wanawekwa kutokea MSOGA NA KIZIMKAZI Bhaaas!!!
 
Yule mi mtu wa maslai yake binafsi
 
Noma kweli yaani
 
Kumbe mwamba ni mtu wa meadu? 🤣 You Know
 
Ule wimbo Jaydee wa YAHAYA UNAISHI WAPIIII .......una husika
 
Watu hawafikirii? Unaacha jimbo lako ulikozaliwa unang'ang'ania majimbo ya watu. Umefukuzwa kwenu?
 
Mwamba ana mji arusha, hata baada ya kuharibikiwa dar alirud arusha na mkewe kwenye makazi yao ya kudumu.
Kwa Daudi Bashite kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha sina shida kwa kuwa ni cheo cha uteuzi. Ila Arusha kuwa na Mbunge mwenye haiba ya Bashite ni kudhalilisha Jiji la Arusha na wananchi wake. Imagine mtu anapigiwa debe na WADUDU
 
WAPA kirefu chake ni nini?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…