Arusha - Je tunaridhika na utendaji wa Godbless Lema?

mpingauonevu

JF-Expert Member
Feb 27, 2012
623
430
Tukiwa ni wakazi wa Arusha tunakubaliana kwamba Arusha ni ngome ya CDM. Arusha ni jiji ambalo linaingiza pato la kutosha kwa Taifa. Lakini ndilo jiji pekee Tanzania ambalo halipangiki, halina barabara na wala haijulikani mpango wake wa kesho ni nini. Lakini kwa Mbunge wetu tunaona yuko busy na matukio yatakayomfanya awekwe ndani na polisi ili apate kura za huruma. Swali la kujiuliza
1. Majukumu ya mbunge ni yapi na Lema ametimiza mangapi.
2.Majukumu ya madiwani ni yapi na mbunge amewahamasisha madiwani wake kwa mangapi?
3.Je? tukimlinganisha Lema na Felix Mrema nani atakuwa amefanya mengi kwa maendeleo ya Arusha?
4.Je? Lema ndiye aina ya mbunge tunayemuhitaji?
naomba kuwakilisha
 
Sasa haya maswali unamletea nan humu? Si uwende Arusha ukawaulize wananchi wenyewe kuliko kuleta ukinega wako humu! Najua unachuki binafsi na Lema na una element za kigamba, Basi na wewe tukuulize hivi na wewe umefanya mangapi ktk taifa lako kama si kupiga majungu 2" ACHA TABIA ZA KIKE.
 
Sasa haya maswali unamletea nan humu? Si uwende Arusha ukawaulize wananchi wenyewe kuliko kuleta ukinega wako humu! Najua unachuki binafsi na Lema na una element za kigamba, Basi na wewe tukuulize hivi na wewe umefanya mangapi ktk taifa lako kama si kupiga majungu 2" ACHA TABIA ZA KIKE.

aah kaka maisha hayaendi hivo bana! hili ni jamvi la weledi. maswali yako wazi na ni vizuri ukitoa hoja kuliko kuwa mkali tu. hata hivyo kama wewe sio mkazi wa jimbo la Arusha hili halikuhusu maana huna cha kujibu. waachie basi wanaoishi Arusha wajibu kulingana na muono wao.
 
Tukiwa ni wakazi wa Arusha tunakubaliana kwamba Arusha ni ngome ya CDM. Arusha ni jiji ambalo linaingiza pato la kutosha kwa Taifa. Lakini ndilo jiji pekee Tanzania ambalo halipangiki, halina barabara na wala haijulikani mpango wake wa kesho ni nini. Lakini kwa Mbunge wetu tunaona yuko busy na matukio yatakayomfanya awekwe ndani na polisi ili apate kura za huruma. Swali la kujiuliza
1. Majukumu ya mbunge ni yapi na Lema ametimiza mangapi.
2.Majukumu ya madiwani ni yapi na mbunge amewahamasisha madiwani wake kwa mangapi?
3.Je? tukimlinganisha Lema na Felix Mrema nani atakuwa amefanya mengi kwa maendeleo ya Arusha?
4.Je? Lema ndiye aina ya mbunge tunayemuhitaji?
naomba kuwakilisha

hebu tuambie kwanza utandaji kazi bora ya hao wabunge wa ccm unaowaona wanafanya kazi nzuri kuliko Lema?
Mada yako inaonyesha wazi wazi chuki binafsi na Lema
 
Asijidanganye mtu kuwa mbunge wa upinzani anaweza kutimiza ahadi zake za kampeni, atachokifanya zaidi ni kufatilia yaleyale yatakayotimizwa na Serikali iliyopo madarakani, na sera zitakuwa ni za chama tawala.

Cha ziada atakachokifanya ni kupiga porojo tu.
 
Mkuu umeongea point sana . Kwakweli hali mbaya sana hasa upande wa barabara na ajira kwa vijana . Nafikiri 2015 tutajua chakufanya.
 
Mkuu umeongea point sana . Kwakweli hali mbaya sana hasa upande wa barabara na ajira kwa vijana . Nafikiri 2015 tutajua chakufanya.
Bucho unaonekana unaijua A-Town, kumbe nimegundua wewe ni wa kuja, au la una lako jambo!
Kam aupo Arusha kwa sasa utakuwa umeona mabadiliko katika barabara kadha za mji!...
1.Hujaona bara2 ya round about ya Unga Ltd kupitia FIRE kwenda kuunganisha East Africa Hotel ikiwa inajengwa?
2.Hujaona eneo la Makao Mapya bara2 zile zikiwa matengenezo?
3.Huoni bara2 ya Ngarenaro to Majengo ikiandaliwa kwa upanuzi?
Ni kweli hazi-meet demand ya barabara, lakini huwezi kufanya kazi hizi overnight!
We should learn to appreciate!
 
hebu tuambie kwanza utandaji kazi bora ya hao wabunge wa ccm unaowaona wanafanya kazi nzuri kuliko Lema?
Mada yako inaonyesha wazi wazi chuki binafsi na Lema

hivi ni kweli JF kuna vichwa? yaani mbona hamtoi hoja? yaani wote mnadai nina chuki sasa hata kama nina chuki jibuni basi hoja ili ijulikane nina chuki! nina wasiwasi hata hamjui mbunge wenu kawafanyia nini! kama wa CCM hakufanya niambieni wa CDM amefanya nini?halafu swali jingine hivi tulimchagua Lema au CDM?
 
Tungekuwa na utaratibu huo wa kuhoj bila shaka serekali ya ccm isingekuwa madarakani..najua unaugomvi na lema kwa kuwa hakukupa ubwabwa,kofia,kanga.........kiukwel lema kaongeza uelewa wa watu hapa ar.polisi hawapigi watu hovyo kama wanavyofanya mikoa mingine lingine tunaona barabara za lami zinajengwa kwa kasi katikati ya mji
 
Kweli maisha yamekuwa magumu mara dufu. Lema ni mbunge kazi za mbunge zimeainishwa kwenye KATIBA ya jmt. Haya maswali muuli aliyeshikilia dola na serikali. Felix hakufanya lolote la maana hata kidogo, zaidi kawekeza katika mashamba ya maua 'malalua'
 
Bucho unaonekana unaijua A-Town, kumbe nimegundua wewe ni wa kuja, au la una lako jambo!
Kam aupo Arusha kwa sasa utakuwa umeona mabadiliko katika barabara kadha za mji!...
1.Hujaona bara2 ya round about ya Unga Ltd kupitia FIRE kwenda kuunganisha East Africa Hotel ikiwa inajengwa?
2.Hujaona eneo la Makao Mapya bara2 zile zikiwa matengenezo?
3.Huoni bara2 ya Ngarenaro to Majengo ikiandaliwa kwa upanuzi?
Ni kweli hazi-meet demand ya barabara, lakini huwezi kufanya kazi hizi overnight!
We should learn to appreciate!

Ahsante. umekuja na barabara. wengine wekeni mengine basi.
 
Kweli maisha yamekuwa magumu mara dufu. Lema ni mbunge kazi za mbunge zimeainishwa kwenye KATIBA ya jmt. Haya maswali muuli aliyeshikilia dola na serikali. Felix hakufanya lolote la maana hata kidogo, zaidi kawekeza katika mashamba ya maua 'malalua'

Kwani wewe ulimpa kura mbunge wako ili akupatie nini? na je ulichokitarajia amekupa?
 
Tungekuwa na utaratibu huo wa kuhoj bila shaka serekali ya ccm isingekuwa madarakani..najua unaugomvi na lema kwa kuwa hakukupa ubwabwa,kofia,kanga.........kiukwel lema kaongeza uelewa wa watu hapa ar.polisi hawapigi watu hovyo kama wanavyofanya mikoa mingine lingine tunaona barabara za lami zinajengwa kwa kasi katikati ya mji

Kati ya LEMA na CDM unapenda nini?
 
Tukiwa ni wakazi wa Arusha tunakubaliana kwamba Arusha ni ngome ya CDM. Arusha ni jiji ambalo linaingiza pato la kutosha kwa Taifa. Lakini ndilo jiji pekee Tanzania ambalo halipangiki, halina barabara na wala haijulikani mpango wake wa kesho ni nini. Lakini kwa Mbunge wetu tunaona yuko busy na matukio yatakayomfanya awekwe ndani na polisi ili apate kura za huruma. Swali la kujiuliza
1. Majukumu ya mbunge ni yapi na Lema ametimiza mangapi.
2.Majukumu ya madiwani ni yapi na mbunge amewahamasisha madiwani wake kwa mangapi?
3.Je? tukimlinganisha Lema na Felix Mrema nani atakuwa amefanya mengi kwa maendeleo ya Arusha?
4.Je? Lema ndiye aina ya mbunge tunayemuhitaji?
naomba kuwakilisha
hapo red; hizo kura za huruma anapiwa lini ? kama kuwa busy na police ni baada ya uchaguzi sasa hizo kura za huruma zinakujaje leo mwaka 1 baada ya uchaguzi

Ndiyo maana watu wanasema una hila na LEMA
 
hapo red; hizo kura za huruma anapiwa lini ? kama kuwa busy na police ni baada ya uchaguzi sasa hizo kura za huruma zinakujaje leo mwaka 1 baada ya uchaguzi

Ndiyo maana watu wanasema una hila na LEMA

kwani Tanzania kampeni za 2015 si tayari zimeanza?
 
napata tabu sana ninaposikia mtu akimlilia mbunge eti kuhusu suala la ajira. Kila mtu anajua jinsi gani taratibu za ajira zinavyopatikana. kuna vigezo kama mwombaji aombe mwenyewe, uadilifu wake, na sifa au fani anayoombea. Kumwambia Mbunge eti akalete ajira kwa vijana huko ni kudanganyana.
1. Ana takwimu za jobless katika jimbo lake?
2. anaombea kasi nafasi gani kwa watu wepi na wenye sifa zipi?
3. Mbunge anayesema ataleta ajira kwa vijana kwenye majukwaa naona ni ****** tu kutuona sisi mapoyoyo.
4. wanasiasa wanatakiwa wawakazanie hao jobless kuwa maisha zio lazima kuajiriwa unaweza ukajiajiri mwenyewe tu na ukala mabata ya kutosha.kulinagana na uwezo wa kisomo chake au pia upeo wake.
Mbunge au kiongozi atayesema kuwa TUTATENGENEZA MAZINGIRA MAZURI YA WATU KUJIAJIRI AU KUAJIRIWA NA asimamie hilo huyo ndio kiongozi. Huwezi kucreat ajira milioni moja bila kuwa na takwimu na mazingira ya kufanyia hizo kazi mi naona nkama usenge tu kutudaganya
Mkuu umeongea point sana . Kwakweli hali mbaya sana hasa upande wa barabara na ajira kwa vijana . Nafikiri 2015 tutajua chakufanya.
 
Tukiwa ni wakazi wa Arusha tunakubaliana kwamba Arusha ni ngome ya CDM. Arusha ni jiji ambalo linaingiza pato la kutosha kwa Taifa. Lakini ndilo jiji pekee Tanzania ambalo halipangiki, halina barabara na wala haijulikani mpango wake wa kesho ni nini. Lakini kwa Mbunge wetu tunaona yuko busy na matukio yatakayomfanya awekwe ndani na polisi ili apate kura za huruma. Swali la kujiuliza
1. Majukumu ya mbunge ni yapi na Lema ametimiza mangapi.
2.Majukumu ya madiwani ni yapi na mbunge amewahamasisha madiwani wake kwa mangapi?
3.Je? tukimlinganisha Lema na Felix Mrema nani atakuwa amefanya mengi kwa maendeleo ya Arusha?
4.Je? Lema ndiye aina ya mbunge tunayemuhitaji?
naomba kuwakilisha

kama umetumwa na magamba kuja kulichafua jembe utaambulia kujichafua mwenyewe,na kwa taarifa yako sisi wana Arusha aka machalii tunamkubali lema hata atawale milele jimboni kwetu,nyinyi magamba type mlileta nin zaidi ya majungu na wizi wa tanzanite yetu kupeleka nje na kuwafukia wachmba migodi hapo mireran ndani ya mkoa wa Arusha?.Mwacheni Mhe.G.Lema awaadabishe nyie magamba!Mtakomaje arumeru?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom