Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 2,147
- 4,296
morombo yetu
...acha upambe mtoto wa kiume utaolewa!, yani umepiga picha jioni ukiwa shimoni tena maeneo ya kawaida makusudi ili tu ulete umbeya huku!.... hiyo sakina ya wapi uliyopiga picha wewe!, magorofa, supermarket, restaurants hujaziona Sakina?!Hii ndio sakina sasa![]()
![]()
![]()
![]()
Anajitekenya alafu anacheka mwenyewe kweli kazi ipo...!camera yenyewe mbovu picha hata haieleweki...acha upambe mtoto wa kiume utaolewa!, yani umepiga picha jioni ukiwa shimoni tena maeneo ya kawaida makusudi ili tu ulete umbeya huku!.... hiyo sakina ya wapi uliyopiga picha wewe!, magorofa, supermarket, restaurants hujaziona Sakina?!
Kweli mwanza na Arusha tofauti, akili za kukatakata watu mapanga/kuchinja kama kuku waumini msikitini Arusha hakuna huo ujinga.Usilinganishe kijiji cha Arusha na Jiji la Mwanza
Hakiri matope we, unasifia ugum wa maisha, et arusha maisha ghali kumbe we mjusi kwelArusha all day every day. Nashangaa sana people toka Dar au place nyingine Tz wanakuja A town wanatembea maeneo ya kawaida wanasema wanaijua A town. Njoo na dough ya kutosha hautotaka uondoke Arusha. Hapa hali ya maisha ni juu na kuna mambo mengi ya kufanya, sahau huko mnako tembelea, I doubt wewe bado hustling hujui. Arusha all day everyday
Wanabodi habari zenu
Nilikuwa sijawahi kufika Arusha, tangu nikiwa sekondari mpaka chuo nimesoma na machalii mbalimbali toka mkoa huo wa Arusha, wamekuwa wanapasifia sana kama si mno.
Hata wadau mbalimbali waliowahi kufika wamekuwa wanapasifia sana ni pazuri na pamejengeka vizuri hata kufikia hadhi ya kuitwa " Geneva of Africa ". Pia uwepo wa makao makuu ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, uwepo wa machimbo ya madini na sekta ya utalii imechangia sifa za Jiji hilo la Arusha kuzagaa mikoa mingine hali inayofanya kila mtu atamani kufika Arusha akiamini ni pazuri kama alivyohadithiwa.
Mungu si Athumani, nikapata safari ya kwenda Arusha wiki iliyopita, MAMA YANGU!! Sikuamini macho yangu, ni sehemu moja ya kawaida sana tena sana. Kwanza hapo wanapopaita Mjini ni pa kishamba sana, Stand ya mabasi ni kawaida yaani hata stand ya daladala ya Mbezi ni nzuri.
Majengo yenyewe ni ya kuhesabu hapo katikati ya mji.
Nikaingia sasa maeneo kama Sakina, Moshono, Njiro pakawaida sana, nikaamini mkoa ni mkoa tu!! Jiji kama lile kuna hiace zile fupi ndio zimejaa mpaka kero, huko Ngaramtoni kuna vumbi ambalo sijawahi kuliona kabisa. Bei ya vitu ndio usiseme yaani kitu cha kuuzwa elfu 5 utaambiwa elfu 30. Hata viwanja vya kijanja vya kujirusha Arusha ni vya kuhesabu na ushamba mwingi sana.
Kitu pekee cha kujipongeza na kujisifu kwa watu wa Arusha ni uwepo wa mbuzi choma kwa Mrombo, baasi hiko ndio nimeona tu!! Kwa maneno mengine Arusha ni overrated region.
Siku zote huwa nasema hapa, arusha ina Jina kubwa kuzidi mji wenyewe, arusha hakuna lolote mji wa kawaida mno umekuzwa tu kwenye vyombo vya habari
Hayo ni mapenzi yako hakuna anaekuzuia, kwa Tz Arusha na moshi ni mikoa isiyonivutia kabisa kuishi, labda mikoa ya Iringa mbeya na Dar tuNa walioukuza zitakuwa haziwatoshi nadhani!
Clinton Bill ndio aliyetoa nickname ya Arusha kuwa ni Geneva of Africa!! Tafakari...!
Kwa Tanzania ni Arusha na Moshi tu ndio mikoa inayonivutia kuishi au kuweka makazi!!
kwa kifupi kwa mtu alietokea dar arusha ya kawaida sana labda kwa watu waliotokea maeneo mengine ndio wataisujudu.
Hayo ni mapenzi yako hakuna anaekuzuia, kwa Tz Arusha na moshi ni mikoa isiyonivutia kabisa kuishi, labda mikoa ya Iringa mbeya na Dar tu