Polisi jamii
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 2,604
- 1,385
NJOONI MBEYA THE GREEN CITY
We si walewale wazee wa kuponda....kazi yenu ni kuipondea arusha without any evidence...!tafuteni miji ya kuipondea sio arusha...!ukitaka kujua arusha ni habari nyingine angalia kwann humu jf kila baada ya siku chache lazima kuna watu wataanzisha Uzi wa kuijadili arusha.
Nimezaliwa arusha, nimetembea majiji yote ya afrika mashariki, kiuhalisia majiji haswa ni nairob na dar, haya mengine yoote, mombasa, mwanza, ars, kisumu, hamna tofaut kabisa, kampala naweza ilinganisha na mombasa , arush inaongelewa sana kwa sababu za kitalii, diplomacy, tanzanite na vingine na ndio kinachoifanya watu kudhan ni pa kipekee na tofauti sana but ni sawa na miji mingine inayokuwa, hamna cha mwanza wala nini kote hamna jiji!
Mwanza kuna nini?watu kuishi juu ya mawe?siku kukitokea mass wasting utapoteaWe acha kulinganisha mwanza na mji wa kipumbavu kama arusha
kaka kulingana na kiwango changu kidogo cha uelewa, arusha huitwa Geneva ya Afrika si kwa sababu ya mandhari ya jiji lenyewe (scenery) bali ni kutokana na ukweli kwamba mikutano mingi ya usuluhishi migogoro mingi katika eneo la afrika ya mashariki na maziwa makuu (mgogoro wa sasa wa Burundi & 1994 Rwanda-Burundi Political Instability) hufanyiwa arusha hususan katika jengo la A.I.C.C kama ambavyo usuluhishi wa migogoro mingi ya kimataifa (Iran-West nuclear deal & Syria conflicts) hufanyika huko Geneva Switzerland.......!!!!!!!!!!!!Hata wadau mbalimbali waliowahi kufika wamekuwa wanapasifia sana ni pazuri na pamejengeka vizuri hata kufikia hadhi ya kuitwa " Geneva of Africa ".
Mkuu unakataa kuwa Arusha watu hawatemi mate ovyo? Bora hata jamaa fulani alikubali lakini akasema ni kwa sababu ya ugoro. Badilikeni hata kama ni tabia iliyozoeleka kule kwenye boma lakini ukiwa mjini lazima mbadilike.Uwezo wako wa kufikiri ndio umeishia hapo...arusha ndio jiji safi tz kwa tuzo zilizotolewa mwaka jana sasa wewe furahisha kijiwe tu na link hii hapa https://www.google.com/url?sa=t&sou...gg3MAU&usg=AFQjCNEvM3Xn-NfZv-TdBR44dHcMCtoxrg
Kwan mwanza kuna kipi cha kipekee ambacho arusha hamna? Dont fool yourself, hii mij yote ndio sasa inakuwa na inakbiliwa na changamoto nyingi ikiwamo, population na mipango miji, mwanza wa a adress vp hiz problems? Kuna mzungu nlimuuliza anoionaje ars, akasema kwa level za ki ulaya it is "A BIG VILLAGE"... sisi tunatoka povu sifia upuuz.
Wewe itakua umeishia kwa mromboo tu ndio unadhani umefika Arusha yote
Nimetoka arusha juzi,,,.nilikuwa nataman sana kuijua arusha lakin duh,,,, ni.ka mji kadogo sana yan ukipanda daladala zile fupi kwenda mahali basi unakutana na migomba kwa mda mfupi sana,,,, pako over rated saaana,, mwanza imetambaa city.center.yake tofaut na arusha sema tu ng in I kumeza,,, mwanza the.best than arusha,,,,,
Na ndio maana mwanza ilianza kupewa hadhi ya jiji then baadar arusha
Wanabodi habari zenu
Nilikuwa sijawahi kufika Arusha, tangu nikiwa sekondari mpaka chuo nimesoma na machalii mbalimbali toka mkoa huo wa Arusha, wamekuwa wanapasifia sana kama si mno.
Hata wadau mbalimbali waliowahi kufika wamekuwa wanapasifia sana ni pazuri na pamejengeka vizuri hata kufikia hadhi ya kuitwa " Geneva of Africa ". Pia uwepo wa makao makuu ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, uwepo wa machimbo ya madini na sekta ya utalii imechangia sifa za Jiji hilo la Arusha kuzagaa mikoa mingine hali inayofanya kila mtu atamani kufika Arusha akiamini ni pazuri kama alivyohadithiwa.
Mungu si Athumani, nikapata safari ya kwenda Arusha wiki iliyopita, MAMA YANGU!! Sikuamini macho yangu, ni sehemu moja ya kawaida sana tena sana. Kwanza hapo wanapopaita Mjini ni pa kishamba sana, Stand ya mabasi ni kawaida yaani hata stand ya daladala ya Mbezi ni nzuri.
Majengo yenyewe ni ya kuhesabu hapo katikati ya mji.
Nikaingia sasa maeneo kama Sakina, Moshono, Njiro pakawaida sana, nikaamini mkoa ni mkoa tu!! Jiji kama lile kuna hiace zile fupi ndio zimejaa mpaka kero, huko Ngaramtoni kuna vumbi ambalo sijawahi kuliona kabisa. Bei ya vitu ndio usiseme yaani kitu cha kuuzwa elfu 5 utaambiwa elfu 30. Hata viwanja vya kijanja vya kujirusha Arusha ni vya kuhesabu na ushamba mwingi sana.
Kitu pekee cha kujipongeza na kujisifu kwa watu wa Arusha ni uwepo wa mbuzi choma kwa Mrombo, baasi hiko ndio nimeona tu!! Kwa maneno mengine Arusha ni overrated region.
idaz akakujibu kwa levels za Kiulaya it is a big village!!! Hahahahaha... hukumsukumia kerbu 1Kwan mwanza kuna kipi cha kipekee ambacho arusha hamna? Dont fool yourself, hii mij yote ndio sasa inakuwa na inakbiliwa na changamoto nyingi ikiwamo, population na mipango miji, mwanza wa a adress vp hiz problems? Kuna mzungu nlimuuliza anoionaje ars, akasema kwa level za ki ulaya it is "A BIG VILLAGE"... sisi tunatoka povu sifia upuuz.