Arusha imekuzwa kuliko ilivyo!! ( Overrated )

Arusha imekuzwa kuliko ilivyo!! ( Overrated )

Arusha hela ngumu kupatikana halafu bidhaa zipo juu mno nakumbuka mwaka jana nilienda kwenye msiba nilipofika nikaona kutembea tembea mtaani na raba muda wote sijazoe ikabidi nimwambie mwenyeji anipeleke sehemu nikanunue sandals akinipeleka kwenye soko flan hivi local aisee kuuliza bei naambiwa 45k wakati quality ileile hapa mjini dar unaipata kwa 15k hahaha hela nilikuwa nayo lakini ikabidi nighairishe zoezi moyoni nikasema kwa hizo bei mtawakamata haohao wa arusha
Hivi kwa akili yako bie ya bidhaa inayopatikana karikoo unataka bei hiyo hiyo mikoani ,ww ukiona maisha magumu find a place where you can get a cheap life

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom