Arusha I salute you!

Arusha I salute you!

Hehehe, ngoja nitetee wakazi wa jiji la karaha:

1-magari yanaoshwa, sema wanaishi madimbwini na yanajaa maji kila wakati whether ya mvua ama ya chooni ama ya majirani kufua. Jiji la arusha ni safi na barabara hazina mahandaki. Hawagongwi ovyo manake kila mtu anaendesha na akili timamu.

2-vijana wa arusha wana hela kuliko hata wazee. Kwa hiyo mabinti hawahitaji kujibanannisha na vibabu kama kina reginald mengi ili kula bata town. Lol. (Na wamama wa arusha wanafikishwa wazee wao kwa hiyo hawahitaji kubanana na serengeti boys. Wazee wa arusha wanakula trooper na sio chipsi zege, they work hard to get money na sio ujanja ujanja wa dsm unaosababisha uzembe)

Hahaha
u make make my day
 
Dar harufu mbaya utadhani Watu hushindana kujamb...
 
Arusha ni mji mzuri sana ila maji yanaharibu uzuri wa watu wake.
 
Chuga ndio home mkuu, ila nimelowea huku kwa wazaramo, i alway's miss home mkuu....hakuna mahali bora chini ya hii dunia kama chuga...wanapaharibu kwa maandamano
 
Atown ndio mpango mzima hali ya hewa murua, mbna gym ziko nyingi tu nzuri ukija let mi know
 
Back
Top Bottom