Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Mi napenda saaaaaana wenye nyama za Allah
Mmmhh!!
Mi napenda saaaaaana wenye nyama za Allah
Mi King'asti kashaniharibia kwa michuchu ya Arachuga sina hata raha. Inakuwaje atuuwe watoto wa Downtown karibia na BOT na Hazina eti hatuna masimbi kama wanaapollo? Asa nifike chuga nirudi Dar na manii kiunoni si ntaumwa?
Ngoja nibadili oil kwenye stout yangu kwanza nione kama itaweza pandisha mlima
mbona hamzungumzii cha Arusha?
tena ubadili na oil ya kiuno manake arusha mabinti hawataki kurambaramba hehehe.
stout tena? ile landrover D5 yako iliyopitwa na wakati umepeleka wapi? ukija arusha usinisake tafadhali.
cc Arushaone
Niliamua kutumia week end yangu na marafiki Arusha mjini tukitokea Dar, kwa kifupi nimefurahishwa sana na maisha ya wakazi wa Arusha na hizi ndio tofauti zao kubwa na na sisi wa Dar,
1. Wanapenda sana quality na sio quantity- hata ukiangalia magari yao wana ya pim vizuri sana, wanayaosha yana ng'aa huku dar gari lina gongwa mtu anatembelea hata miezi 2 hivyo hivyo tu. Hii inaonyesha hatuthamini mali zetu, magari machafu sana. Min super market zao zinatoa huduma nzuri sana hotel zina excellent customer care na wako proffessional uki compare na hizi za Sinza Majanga.
2. Maadili-tulienda club D kilichotuvutia watoto/teenagers/vijana wanadate wao kwa wao. Hapa Dar ni opposite kabisa unakuta visichana vidogo kabisa viko na ma babu zao na ma baba. Pia ni nadra sana kukuta wazee disco. Watu wa makamo niliona 2 tu. Mtaani watoto wanamadili wanasalimia vizuri wana afya nzuri na wanajishugulisha. Dar mtoto akikusalimia ujue anakuomba hela.
3. Vijana wana jiamini sana kuzungumza kutenda na hata kutembea kikakamavu.
4. Bar maid- wanavaa pete za ndoa na wanavaa kiheshima sana huwezi kulinganisha na Dar ukimwona bar maid kavaa pete ya ndoa nipigie nije nikulipe vinywaji vyote.
Mapungufu,
Wanapenda sana maandamano, nilishuhudia mabishano kidogo tu likaja kundi la vijana wakaandamana kuelekea kijenge kumpiga mwenzao alietoa lugha chafu.
Viroba vimeathiri kwa kiasi fulani afya za vijana wa ungali limited na maeneo mengine.
tena ubadili na oil ya kiuno manake arusha mabinti hawataki kurambaramba hehehe.
stout tena? ile landrover D5 yako iliyopitwa na wakati umepeleka wapi? ukija arusha usinisake tafadhali.
cc Arushaone
ukimaliza angalia GDP
...............The report which indicates economic strength of administrative regions in Tanzania mainland for 2012 shows Arusha is the 7th richest region in Tanzania with a gross domestic product (GDP) of Sh2.1 trillion ($1.3 billion), followed by Tanga (Sh2.09 trillion) and Kilimanjaro (Sh2.03 trillion)..............
source: The Citizen.co.tz
Kasoro moja kubwa unakutana na mdada mzuri akicheka meno yanakutu ha ha ha ha ha ha.
Unazeeka vibaya. Ile ilikuwa almaarufu 109 MTUU lol. Hivi unajua asilimia kubwa ya nditoz za Arusha zinatokea pande ya Moshi? Na si ndo hao wanaosifika kwa kusoma magazeti wakati wa tendo la uumbaji?