Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arusha ndo mambo yote huku ndo nature iko hali ya hewa amna uswahili
 
kana kwamba hukumuona kibonde akiitangaza projrect kuwa watanzania wote mnakaribishwa kuwekeza
 
Acheni upumbavu kubishana kwa mambo ya kipuuzi hebu nitajieni ni mkoa gani nchi hii ambao unajitosheleza kwa kila kitu MIUNDOMBINU HUDUMA ZA KIJAMII MAHOSPITAL MAJI SHULE BENKI NA KADHARIKA JIBU NI KUWA hakuna mkoa unaojitosheleza ni maendeleo ya baadhi ya sehemu tu za mijini ila ukitoka nje ya mji huduma na mbovu sana hata DAR-es- salaam yenyewe miundombinu ni mibovu umasikini upo kama ilivyo mikoa mingine nchini sasa mnatoana mapovu ya nini
 
Kama wana copyright na hiyo picture huoni wamaficha nembo wakenya ni wezi kila idara.
on the other hand threader kasema lengo sio mashindano hivyo tunamtii ni kuielezea tu Arusha ilivyo sio kuilinganisha na popote sababu kashatuweke upekee wa Arusha wa kutosha tu.
Pamoja mkuu huwa nafurahi mtu anaposifia kwake bila kuponda kwa mwezake na hilo aliyeanzisha uzi ndilo alilofanya.Huo ndio tunaoita uzalendo. Mara kadhaa nimetembelea mitandao ya wakenya wanasifia vya kwao kwa pamoja bila kujali ukabila wao au ukanda wao linapokuja suala la kufanya comparison na nchi au mji kutoka nchi nyingine.Hapa kwetu kwa mfano ikianzishwa thread ya TANGA NA MOMBASA, au ARUSHA na NAKURU kuna baadhi ya Wa tz wataponda mji au miji hyo ilimradi yeye hatoki mji husika na bila kuangalia ukweli au uhalisia
 
Huja
Wee ni muongo sana ,unasifia kwenu mpaka unapitiliza na vya wenzenu unafanya vya kwenu hapo namba 4 umeitaja mbuga ya serengeti kwamba ipo Arusha ni uongo, Serengeti haipo Arusha, Serengeti ipo mkoa wa Mara,sema tu watalii wengi hupenda kuanzia safari ya kwenda huko kwa kutokea Arusha.
Hujasoma mpaka mwisho wewe,
Ila kasema kweli,we sema ya kwenu
 
Aga khan University Campus in Arusha, the project is about to start.. Itakuwa 4 km kutoka Arusha Airport na itagharimu zaidi ya 1 Trillion Shilling za Kitanzania.. Itachukua wanafunzi kutoka Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na Sudan Kusini kwa kuanzia kama moja ya kuimarisha Ushirikiano wa Afrika Mashariki...

Hii University itashindana na Udom kwa ukubwa.. Ndani ya chuo hiki kutakuwa na Shule ya Msingi, Sekondari, Hostels, Hospitali, Hotel kwa ajili ya mazoezi kwa wanafunzi na facilities nyinginezo.. Project kama hizi haziwezi kwenda Iyunga au Sengerema kamwe hahahahaha

aku-fas-30.jpg
aku-fas-26.jpg
aku-fas-24.jpg
aku-fas-07.jpg
aku-fas-03.jpg
aku-arusha-campus.jpg
aku-fas-16.jpg
aku-fas-29.jpg
aku-fas-02.jpg
Hadi raha.... You know
 
Hahahaaaa yan Dar mnaringia mwendo kasi na daraja la kigambon zaid ya hapo hakuna jipya.
Juz nlikuwa Dar yan hewa nzito kariakoooo., chakula shidah, population ndo usiseme , sijui uko fery ukipanda hiyo bot mnabanana yan shida tupu. Ukikod tax unaonekana jambazi. Mh. Ndo Mara yangu ya kwanza kupanda bajaji. Nusu nizimie. Yan Dar mh
Chalii anguu umenifanya nicheke mpaka nimetaka kuonekana chizi humu ndani ya basi la mwendokasi
 
Mungu hana upendeleo eti?! Haaha ni kweli hana upendeleo bali Mungu hubariki na katika mikoa iliyobarikiwa na Mungu Arusha ni number one, home sweet home the better place to stay.
 
Ila kwa kweli arusha pazuri.ile hali ya hewa ni nzuri sana.a healthy climatic condition
 
Back
Top Bottom